ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Tokea saa 8 mbagala Kijichi Hatuna Umeme hadi saa hizi inaenda saa tano na si Leo tu wiki yote ni kubahatisha tu unakatwa unarudi na joto hili aisee mnatutesa sana !
Mbaya zaidi hakuna taarifa kwa nini mmekata na mtarudisha lini, saa ngapi..
Sijui tumekatiwa huku tu au ni mji mzima wa Dar es Salam ?
Mbaya zaidi hakuna taarifa kwa nini mmekata na mtarudisha lini, saa ngapi..
Sijui tumekatiwa huku tu au ni mji mzima wa Dar es Salam ?
