Kuna kitu hujui
Ipo hivi ukiona umeme umekata ni tatizo ambalo ni out of control hakuna Tanesco ambae anataka umeme kwa makusudi
Umeme ukikata hata saa Moja wanapoteza pesa nyingi sana
Cha kufanya kopa mkopo wa Sola system
Jaribu kuwa na backup! Wachina wametukomboa kwa solarBaadhi ya maeneo ya Dar usiku mkali wa leo TANESCO mmekata umeme. Ili joto + mbu ni mateso.
Mkuu kupanga ni kuchagua. Haya ndiyo maisha wabongo tumeamua kuishi... Tukitaka mabadiliko tunaweza kuyaleta lakini kwa sasa acha tuendelee kuvuna tunachopanda.Baadhi ya maeneo ya Dar usiku mkali wa leo TANESCO mmekata umeme. Ili joto + mbu ni mateso.
Mkuu kupanga ni kuchagua. Haya ndiyo maisha wabongo tumeamua kuishi... Tukitaka mabadiliko tunaweza kuyaleta lakini kwa sasa acha tuendelee kuvuna tunachopanda.
Hao wasenge wanazingua sana mpaka sahizi hakuna umeme na kuna joto sio kawaida leo kumamakezao kabisa halafu hata hawasemi shida ni nini mpaka umeme umekatwa muda wote huu hawa makumaaAisee!