TANESCO itafutiwe mshindani wa kibiashara?

TANESCO itafutiwe mshindani wa kibiashara?

Kama ni kusoma .. dada mimi nasoma sana na ni mfuatiliaji mzuri sana.
1. Lalamiko langu ni kutobadilishiwa tariff - limeandikwa wapi kwenye mkataba kwamba ni mpaka mtandao uwepo ndo wanakubadilishia? Ina maana tangu Nov. 2018 mtandao haujawahi kuwa sawa ili nihudumiwe?

2. Kwenye mkataba iliandikwa wapi kwamba wateja wa mjini wawachangie wateja wapya wa vijijini kila wanaohitaji huduma ya Luku?

3. Ni kwa nini wasisambaze nguzo pote ili wateja wote wakawa na ghalama moja? Nikihitaji huduma wanakuja kuangalia kama nguzo iko karibu ... ikiwa mbali wanaweka gharama ya nguzo kwenye quotation yao .. lakini wakitaka kuzitumia nguzo hizo kwa ajili ya wateja wengine (majirani) - hawanirudishii chochote - eti nguzo ni mali yao. Mali yao vipi wakati niliilipia.

Tatizo wewe inawezekana unafanya kazi humo ndo maana unawatetea.
Mkuu tatizo dharau zitakuponza. Hujui unaemdharau ni nani na anaweza kukusaidia vipi shida yako. Kwakuwa umeamua kuonyesha ujuha wako basi poa mzee baba pambana na hali yako tu huwezi kusaidika maana una dharau za kiwaki.

Ila jifunze kutodharau mtu usiemjua chief.

Jiteke tena uonewe huruma upewe pussy ya bure
 
Mkuu tatizo dharau zitakuponza. Hujui unaemdharau ni nani na anaweza kukusaidia vipi shida yako. Kwakuwa umeamua kuonyesha ujuha wako basi poa mzee baba pambana na hali yako tu huwezi kusaidika maana una dharau za kiwaki.

Ila jifunze kutodharau mtu usiemjua chief.

Jiteke tena uonewe huruma upewe pussy ya bure
Dharau iko wapi tena?
 
Ndio lakini pamoja na hayo pia kutokuwa na uelewa kwetu sisi raia nako kunachangia kuonekana huduma zipo chini ya kiwango
Ni sehemu ndogo sanaaaaa ambayo wananchi wanafanya Tanesco kuunderperform sehemu kubwa ni Tanesco wenyewe na serikali kwa mfano kuna watu wamelipia tanesco waunganishiwe umeme na taratibu zote wamekamilisha then wakambiwa ndani ya siku kadhaa (kulingana na umbali nk) watakuwa washaunganishiwa leo wana zaidi ya miezi 6! hawajaunganishiwa then mwaka jana dec waziri wa nishati medard kalemani akatoa kauli ya kisiasa kuwa by dec 31, kila aliyelipia awe ashapata umeme ilhal anajua ni agizo ambalo ni hewa i.e halitekelezeki.Watu wakifuatilia wanaambiwa mara ooh nguzo, waya, luku hamna, Mara ohh vumilia tu zamu yako itafika, but kungekuwa na ushindani upuuz huu usingekuwepo
 
Kabla hawajapata ushindani walikuwa wanajifanya miungu watu. Sasa hivi wameshikishwa adabu nao wanabembeleza wateja.
Hahaha unapenda ubembelezwe au upate huduma stahiki?!
Lakini hili la nguzo nadhani nao huzinunua na kuzisafirisha maeneo tofauti nchini. Sidhani kama hizo nguzo zimekatwa na kutayarishiwa hapi ilemela.
Siwatetei kwa kutokukubembeleza lakini nalitaka uelewe kuhusu nguzo kuna gharama nao wanalipia, ingawa zinaweza kuwa pesa za donor na sio zao.
 
Hahaha unapenda ubembelezwe au upate huduma stahiki?!
Lakini hili la nguzo nadhani nao huzinunua na kuzisafirisha maeneo tofauti nchini. Sidhani kama hizo nguzo zimekatwa na kutayarishiwa hapi ilemela.
Siwatetei kwa kutokukubembeleza lakini nalitaka uelewe kuhusu nguzo kuna gharama nao wanalipia, ingawa zinaweza kuwa pesa za donor na sio zao.
Nikupe mfano mdogo tu, kampuni ya mobisol inanunua vifaa vya solar toka ujeruman, lakini huduma wanayoitoa Haina usumbufu, ukilipia NI ndani ya siku 7 unahudumiwa
 
Bora uende mobisol
Umenena .... ona sifa za mobisol ...
a) Wanatoa huduma kwa mkopo wa masharti nafuu
b) Wanafanya wiring free - kila kitu ni juu yao kuanzia nyaya, vikorombezo vyote hadi ufundi
c) Wanakupa warantii ya miaka minne
d) Ukimaliza deni unamilikishwa moja kwa moja (hapo hakuna cha kulipia tena)

Hivi yakitokea makampuni mengine ya kutoa huduma ya nishati ya umme Tanesco wanakuwaje?
 
Hahaha unapenda ubembelezwe au upate huduma stahiki?!
Lakini hili la nguzo nadhani nao huzinunua na kuzisafirisha maeneo tofauti nchini. Sidhani kama hizo nguzo zimekatwa na kutayarishiwa hapi ilemela.
Siwatetei kwa kutokukubembeleza lakini nalitaka uelewe kuhusu nguzo kuna gharama nao wanalipia, ingawa zinaweza kuwa pesa za donor na sio zao.
Nguzo, na vikorombezo vingine ni vifaa vyao vya kutolea huduma. Bora mteja aingie gharama ya kufunga wiring nyumbani kwake tu - wao wafikishe huduma hadi nyumbani ili wapate wateja wengi.
Nafikiri kampuni haina watu special kwa ajili ya kubuni mbinu za kuongeza wateja.
 
NYAKATO NDIO BALAA, hata mambo feki unafanyiwa na OFISI bila wewe mteja kujua
 
NYAKATO NDIO BALAA, hata mambo feki unafanyiwa na OFISI bila wewe mteja kujua
Tufike hatua tukatae huduma zao; wakikosa wateja ndo watajifunza. Mimi waliponizengua nikajichukulia solar - sijui malipo ya luku wala nini ... napata shida ofisini kwa kuwa sio kwangu ila kungekuwa ni kwangu (jengo) ningechukua solar nikaondokana na matatizo hayo!
 
Umenena .... ona sifa za mobisol ...
a) Wanatoa huduma kwa mkopo wa masharti nafuu
b) Wanafanya wiring free - kila kitu ni juu yao kuanzia nyaya, vikorombezo vyote hadi ufundi
c) Wanakupa warantii ya miaka minne
d) Ukimaliza deni unamilikishwa moja kwa moja (hapo hakuna cha kulipia tena)

Hivi yakitokea makampuni mengine ya kutoa huduma ya nishati ya umme Tanesco wanakuwaje?
Unajua yayafukuzwa kwa kisingizio chochote kile. Angalia ndege, na bima ya afya kinachofanyika. Serikali haitaki mshindani, na akiwashinda kama airtel wanatafuta njia kumlaza chini. Wanataka wafanye kila kitu na hawawezi kufanya kila kitu, na hawataki mshindani.
 
Unajua yayafukuzwa kwa kisingizio chochote kile. Angalia ndege, na bima ya afya kinachofanyika. Serikali haitaki mshindani, na akiwashinda kama airtel wanatafuta njia kumlaza chini. Wanataka wafanye kila kitu na hawawezi kufanya kila kitu, na hawataki mshindani.
Tukiweka mikakati ya pamoja watarekebika tu
 
Kwenu uongozi wa Tanesco na Mheshimiwa waziri mwenye dhamana ya nishati, imekuwa sasa ni kawaida kwa wilaya ya Temeke kuexperience kukatiwa umeme, Angalau mara tatu kwa wiki, nakumbuka baada ya Mheshimiwa Rais kuwatumbua waliokuwa transmission head na Mwingine baada ya jiji kukaa gizani hali ilitulia nchi nzima na umeme ulikua haukatiki hovyo, hali ile imerudi tena. Je tatizo ni usimamizi hafifu na kutojali katika sekta ya umma? Kwa sababu sidhani kama Tanesco hata Ingemilikiwa Partly na private sector Kama CRDB, NMB au Vodacom kungekua na huu uzembe, ninavyoandika uzi huu umeme Ulikatika jana usiku, mimi ni mmoja wa wamiliki wa viwanda vidogo Temeke, tunazalisha kwa shift 3 hakuna uzalishaji hamuoni serikali inapoteza kodi na ufanisi?, tunapiga simu Tanesco Emergency majibu ni yale yale ndani ya zaidi ya saa 36, "mafundi wapo site wanarekebisha", au ni kwa sababu ya monopoly?, Je hata kutoa taarifa kwa umma mmeshindwa?, au hili nalo mnataka Rais awakumbushe?, mbona mnambebesha kiongozi wetu mzigo kwa aliowapa dhamana kwa kutotaka kumsaidia, mbaya zaidi kuelekea kipindi cha uchaguzi?. Au mna nia ya ya kumletea ugumu kwenye uchaguzi ukizingatia maeneo mnayokata ni yale yenye watu wengi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenu uongozi wa Tanesco na Mheshimiwa waziri mwenye dhamana ya nishati, imekuwa sasa ni kawaida kwa wilaya ya Temeke kuexperience kukatiwa umeme, Angalau mara tatu kwa wiki, nakumbuka baada ya Mheshimiwa Rais kuwatumbua waliokuwa transmission head na Mwingine baada ya jiji kukaa gizani hali ilitulia nchi nzima na umeme ulikua haukatiki hovyo, hali ile imerudi tena. Je tatizo ni usimamizi hafifu na kutojali katika sekta ya umma? Kwa sababu sidhani kama Tanesco hata Ingemilikiwa Partly na private sector Kama CRDB, NMB au Vodacom kungekua na huu uzembe, ninavyoandika uzi huu umeme Ulikatika jana usiku, mimi ni mmoja wa wamiliki wa viwanda vidogo Temeke, tunazalisha kwa shift 3 hakuna uzalishaji hamuoni serikali inapoteza kodi na ufanisi?, tunapiga simu Tanesco Emergency majibu ni yale yale ndani ya zaidi ya saa 36, "mafundi wapo site wanarekebisha", au ni kwa sababu ya monopoly?, Je hata kutoa taarifa kwa umma mmeshindwa?, au hili nalo mnataka Rais awakumbushe?, mbona mnambebesha kiongozi wetu mzigo kwa aliowapa dhamana kwa kutotaka kumsaidia, mbaya zaidi kuelekea kipindi cha uchaguzi?. Au mna nia ya ya kumletea ugumu kwenye uchaguzi ukizingatia maeneo mnayokata ni yale yenye watu wengi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashukuru kwa taarifa tafadhali tusaidie namba yako ya simu na eneo lenye tatizo haswa kwa ufatiliani na hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo awali sikujua umuhimu wa baadhi ya options katika maisha. Kuna siku nilijiuliza kwa nini kuwe na vyama vingi wakati CCM ipo na wananchi hawajawa na utayari wa kuwa na vyama vingine kwa kigezo cha TUME YA NYARARI kipindi kile. Nyerere akalazimisha mfumo wa vyama vingi. Kumbe siku CCM ikibaki peke yake tutamis sana fujo za upinzani japo kwa sasa wengine wanaona kama upinzani sio wazalendo. Kuna umuhimu wa kuwa na option.
Hata kwa waislam nimeielewa salama ile option ya kuoa mke zaidi ya mmoja. Inasaidia sana wakati mwanamke akiwa na dharura huku mme akiwa anataka haki yake ya ndoa.

Hata kwenye mitandao ya simu. Leo VODACOM wamezingua kweli na internet yao. Mambo baadhi yakasimama huku wakituletea SMS zao za kuomba radhi. Kwa kuwa kuna option ya mitandao mingine stresses zimepungua kidogo.
What if there was no option today?
Natamani hata TANESCO wawe na mshidani kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbadala wa CCM unaouongelea ni hupi?
Mbowe?: sumu ailambwi ukitaka kugombea uenyekiti wa CHADEMA
Zitto?: huyu hata la kusema sijui nianzie wape?
Mbatia?
Lipumba?
Cheyo?

Hebu niambie mbadala wa CCM ni upi kwa mfano?
 
Back
Top Bottom