TANESCO itafutiwe mshindani wa kibiashara?

TANESCO itafutiwe mshindani wa kibiashara?

Wakati tupo chini ya chama kimoja serikali ilikumbwa na majaribio ya kimapinduzi takribani manane!. Nyerere aliona huko mbeleni kutakuwa na tatizo kazi iliyobaki ni kuunda tume huru,na usimamizi huru utakaoleta manufaa ktk nchi
 
Mtu ambae hataki vyama vya upinzani viwepo ni mwenye mtindio wa ubongo tu walio timamu wanajua umuhimu vya vyama hivyo.
 
Boss MKEHA Nakuunga Mkono hoja, hata na mimi nilishashauri, Bila Upinzani au Ushindani mzuri, tusahau kitu kinaitwa Maendeleo. Bila Option B unadumaa. Tanesco na hata CCM na Jamii yao wanabweteka kwasababu wanajua fika tu hakuna wa kuwafanya kitu, hakuna wa kuwatoa, hakuna wa kuwaumiza kichwa. Kila anapotokea Mpinzani wa kweli, zengwe, kutishwa, kurudishwa nyuma, nguvu nyingi zinatumika. Ambazo hizo nguvu zingetumika kwenye Mambo mengine ya msingi na maendeleo. Tunakuwa Shamba la Bibi miaka nenda miaka nyuma.

Sijui kwa nini Utawala na Viongozi ni waoga kwenye hilo??? !!!


Hapo awali sikujua umuhimu wa baadhi ya options katika maisha. Kuna siku nilijiuliza kwa nini kuwe na vyama vingi wakati CCM ipo na wananchi hawajawa na utayari wa kuwa na vyama vingine kwa kigezo cha TUME YA NYARARI kipindi kile. Nyerere akalazimisha mfumo wa vyama vingi. Kumbe siku CCM ikibaki peke yake tutamis sana fujo za upinzani japo kwa sasa wengine wanaona kama upinzani sio wazalendo. Kuna umuhimu wa kuwa na option.
Hata kwa waislam nimeielewa salama ile option ya kuoa mke zaidi ya mmoja. Inasaidia sana wakati mwanamke akiwa na dharura huku mme akiwa anataka haki yake ya ndoa.

Hata kwenye mitandao ya simu. Leo VODACOM wamezingua kweli na internet yao. Mambo baadhi yakasimama huku wakituletea SMS zao za kuomba radhi. Kwa kuwa kuna option ya mitandao mingine stresses zimepungua kidogo.
What if there was no option today?
Natamani hata TANESCO wawe na mshidani kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo awali sikujua umuhimu wa baadhi ya options katika maisha. Kuna siku nilijiuliza kwa nini kuwe na vyama vingi wakati CCM ipo na wananchi hawajawa na utayari wa kuwa na vyama vingine kwa kigezo cha TUME YA NYARARI kipindi kile. Nyerere akalazimisha mfumo wa vyama vingi. Kumbe siku CCM ikibaki peke yake tutamis sana fujo za upinzani japo kwa sasa wengine wanaona kama upinzani sio wazalendo. Kuna umuhimu wa kuwa na option.
Hata kwa waislam nimeielewa salama ile option ya kuoa mke zaidi ya mmoja. Inasaidia sana wakati mwanamke akiwa na dharura huku mme akiwa anataka haki yake ya ndoa.

Hata kwenye mitandao ya simu. Leo VODACOM wamezingua kweli na internet yao. Mambo baadhi yakasimama huku wakituletea SMS zao za kuomba radhi. Kwa kuwa kuna option ya mitandao mingine stresses zimepungua kidogo.
What if there was no option today?
Natamani hata TANESCO wawe na mshidani kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu ambae hataki vyama vya upinzani viwepo ni mwenye mtindio wa ubongo tu walio timamu wanajua umuhimu vya vyama hivyo.
Ni hasara kwasababu vinakula ruzuku hela ya walipa Kodi wakati havina tija!
 
Back
Top Bottom