kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Kuna Mbunge ameliona hili juu ya utaratibu wa sasa wa Tanesco la wateja kugharimia vifaa vy a nguzo na nyaya pale mteja anapotaka kuanganishiwa huduma ya umeme.
Hatukatai kwamba ni utaratibu waliojiwekea lakini mbona mteja anapogharimia umbali mrefu na baadae wakajitokeza wateja wengine kwenye mkondo(line) iliyogharimiwa na mteja mwenzao hawampi japo asilimia kidogo ya service charge?
Kwa hili Tanesco wataendelea kuibiwa kwani nafikiri wengi wanajilipa gharama za nguzo na nyaya walizotoa na baadae kutumiwa na wateja wengine pia bila wao kufikiriwa chochote.
WanaJF kuna mwenye la kusema juu ya hili? Ni mtizamo tu, nawasilisha.
Hatukatai kwamba ni utaratibu waliojiwekea lakini mbona mteja anapogharimia umbali mrefu na baadae wakajitokeza wateja wengine kwenye mkondo(line) iliyogharimiwa na mteja mwenzao hawampi japo asilimia kidogo ya service charge?
Kwa hili Tanesco wataendelea kuibiwa kwani nafikiri wengi wanajilipa gharama za nguzo na nyaya walizotoa na baadae kutumiwa na wateja wengine pia bila wao kufikiriwa chochote.
WanaJF kuna mwenye la kusema juu ya hili? Ni mtizamo tu, nawasilisha.