TANESCO haina huruma na maskini kabisa.

TANESCO haina huruma na maskini kabisa.

Covid-19

Senior Member
Joined
Mar 2, 2020
Posts
162
Reaction score
365
Kuna mambo nchi hii yanatia hasira kupitiliza. Yaani unajibana miaka chungu unapata zako laki 3 unasema ukamwekee mzazi wako umeme walau nae aepuke karaha za giza. Unaenda TANESCO unapewa control number ya kulipia halafu unaambiwa umeme usubiri kwani kuna watu tangu December mwaka jana hawajapata umeme. Hii maana yake nami nisubiri hadi mwakani!!

Sasa kama TANESCO hili tu la kununua Meter na kufungia mtu at a time mnashindwa sijui mtaweza lipi katika dunia hii ya teknolojia!! Kama kwenu kununua vifaa ni shida ni bora hizo hela kila mtu angeruhusiwa anunue vifaa yeye mwenyewe na nyinyi muje tu kuunganisha lakini hili mnalofanya ni jambo la kishamba lililopitiliza.

Ombi:Kama kuna mtu anaweza kunisaidia namna ya kurudisha hiyo hela yangu niliyolipia nikaifanyie mambo mengine.
 
Nikutoe wenge tu kuwa hiyo pesa yako haiwezi kurudi, tafuta nyingine tu…. ni kiendacho kwa mganga.
 
Kuna mambo nchi hii yanatia hasira kupitiliza. Yaani unajibana miaka chungu unapata zako laki 3 unasema ukamwekee mzazi wako umeme walau nae aepuke karaha za giza. Unaenda TANESCO unapewa control number ya kulipia halafu unaambiwa umeme usubiri kwani kuna watu tangu December mwaka jana hawajapata umeme. Hii maana yake nami nisubiri hadi mwakani!!

Sasa kama TANESCO hili tu la kununua Meter na kufungia mtu at a time mnashindwa sijui mtaweza lipi katika dunia hii ya teknolojia!! Kama kwenu kununua vifaa ni shida ni bora hizo hela kila mtu angeruhusiwa anunue vifaa yeye mwenyewe na nyinyi muje tu kuunganisha lakini hili mnalofanya ni jambo la kishamba lililopitiliza.

Ombi:Kama kuna mtu anaweza kunisaidia namna ya kurudisha hiyo hela yangu niliyolipia nikaifanyie mambo mengine.
Nani alikwambia Tanesco inashughulika na kusaidia maskini?
 
Kuna mambo nchi hii yanatia hasira kupitiliza. Yaani unajibana miaka chungu unapata zako laki 3 unasema ukamwekee mzazi wako umeme walau nae aepuke karaha za giza. Unaenda TANESCO unapewa control number ya kulipia halafu unaambiwa umeme usubiri kwani kuna watu tangu December mwaka jana hawajapata umeme. Hii maana yake nami nisubiri hadi mwakani!!

Sasa kama TANESCO hili tu la kununua Meter na kufungia mtu at a time mnashindwa sijui mtaweza lipi katika dunia hii ya teknolojia!! Kama kwenu kununua vifaa ni shida ni bora hizo hela kila mtu angeruhusiwa anunue vifaa yeye mwenyewe na nyinyi muje tu kuunganisha lakini hili mnalofanya ni jambo la kishamba lililopitiliza.

Ombi:Kama kuna mtu anaweza kunisaidia namna ya kurudisha hiyo hela yangu niliyolipia nikaifanyie mambo mengine.
Andika barua ya kusitisha maombi, nakala ipeleke ofisi ulipoombea, UTARUDISHIWA PESA YAKO BAADA YA BARUA YAKO KUPELEKWA HADHINA!
Ukizingua wanaweza wasikupe umeme na hela hawarudishi na hakuna kitu utawafanya!
Jaribu kuwa mpole zama zimebadilika! Kula kwa urefu wa kamba ndo mziki uliopo hewani!

Ukileta mawenge huko kuna mawenge zaidi
 
Tuliambiwa kwamba wale wanaolipa elf 27 ndo wanazungushwa kumbe mambo yanawakuta hadi wa kulipa laki tatu......yaani mtu alipe laki tatu ichukue tena mwaka mzima wakati enzi za mwamba JPM ilichukua wiki tu.......TANESCO mjitathmini bhanaa vinginevyo tubinafsishe kama kwenye mitandao ya simu.....
 
Andika barua ya kusitisha maombi, nakala ipeleke ofisi ulipoombea, UTARUDISHIWA PESA YAKO BAADA YA BARUA YAKO KUPELEKWA HADHINA!
Ukizingua wanaweza wasikupe umeme na hela hawarudishi na hakuna kitu utawafanya!
Jaribu kuwa mpole zama zimebadilika! Kula kwa urefu wa kamba ndo mziki uliopo hewani!

Ukileta mawenge huko kuna mawenge zaidi
Dah!!
 
Kumbe bado kuna ule ujinga wa kujiita maskini, mnyonge nk.
Ungekuwa umejiona bepari ungefanya maarifa ufungiwe haraka, lakini kwa kuwa masikini tulia hapo usubiri huruma ya Mungu
 
masikini hapaswi kuishi kwenye dunia hii, ni jukumu la masikini kuondoka kupambana na kujiondoa kwenye umasikini..

Dunia haiwezi kuishi na kutenda kwa kumuangalia masikini maana dunia yote itakuwa masikini...
 
Kuna mambo nchi hii yanatia hasira kupitiliza. Yaani unajibana miaka chungu unapata zako laki 3 unasema ukamwekee mzazi wako umeme walau nae aepuke karaha za giza. Unaenda TANESCO unapewa control number ya kulipia halafu unaambiwa umeme usubiri kwani kuna watu tangu December mwaka jana hawajapata umeme. Hii maana yake nami nisubiri hadi mwakani!!

Sasa kama TANESCO hili tu la kununua Meter na kufungia mtu at a time mnashindwa sijui mtaweza lipi katika dunia hii ya teknolojia!! Kama kwenu kununua vifaa ni shida ni bora hizo hela kila mtu angeruhusiwa anunue vifaa yeye mwenyewe na nyinyi muje tu kuunganisha lakini hili mnalofanya ni jambo la kishamba lililopitiliza.

Ombi:Kama kuna mtu anaweza kunisaidia namna ya kurudisha hiyo hela yangu niliyolipia nikaifanyie mambo mengine.
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya ombi

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000
 
Back
Top Bottom