wakuchuja
Member
- Jan 12, 2014
- 17
- 35
Kumekuwa na tatizo la kukatika sana kwa umeme mkoa wa Geita hasa vijijini sijui kwa nini
Waziri anadai wanataka umeme wa uhakika lakini watendaji wa TANESCO wamekuwa wazembe kweli, mfano unalipia kuunganishiwa umeme leo unakuja kuunganishiwa baada ya miezi minne kama sio mitano
Sasa kuna Kata inaitwa Kasamwa-Mtaa wa Majengo Geita Mji umeme umekatika juzi tarehe 20 mwezi huu saa 20:57 mpaka mda huu haujarudi wakazi wa pale wanajaribu kuwapigia TANESCO Geita hakuna majibu ya kueleweka na haijulikani ni lini umeme utarudi
Jamani kwa wafanya kazi hawa wa TANESCO tutaelekea uchumi wa viwanda kweli?
Waziri anadai wanataka umeme wa uhakika lakini watendaji wa TANESCO wamekuwa wazembe kweli, mfano unalipia kuunganishiwa umeme leo unakuja kuunganishiwa baada ya miezi minne kama sio mitano
Sasa kuna Kata inaitwa Kasamwa-Mtaa wa Majengo Geita Mji umeme umekatika juzi tarehe 20 mwezi huu saa 20:57 mpaka mda huu haujarudi wakazi wa pale wanajaribu kuwapigia TANESCO Geita hakuna majibu ya kueleweka na haijulikani ni lini umeme utarudi
Jamani kwa wafanya kazi hawa wa TANESCO tutaelekea uchumi wa viwanda kweli?