Tanesco emergency

mchakavumlasana

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
389
212
Habari wanajamvi,

hivi inachukua muda gani kwa Tanesco Emergency kufia eneo la tukio?
Maana mtaani kwangu toka jumatatu kwenye nguzo panatoa cheche binafsi nimepiga customer care, na tanesco zone hola toka jumatatu naishia kupewa namba tu.

Hii ni hatari, mie ninayeishi huku kwenye mitaa inayofikika krahisi hawaji je huko ambako hakuna njia wala mitaa wanaenda kweli?

Yaani hapa tunaishi kwa hofu ya madhara ya hizi cheche, si kwa kuhofia mali tu bali hata watoto na wenda kwa miguu.......

This country banaa......
 
kufia=kufika

ila hao tanesco pia ni mtihani haswaaaaaaa na kukata kwao umeme sijui ni mgao au ni nini!!!!!
 
Hii kampuni ni ya hovyo sana!wanajua kabisa umeme ni hatari wanapoitwa wanabidi kufika kwa muda otherwise maafa yaweza tokea lakini wapo kinyume kabisa tuliwahi kuwaita ofs kwetu wakaja kesho yake wakati umeme uligusa paa na kuhatarisha uhai wetu!foo.s
 
yaani mtoa mada imekula kwake,
mie niliwahi waita kwangu kulikuwa na hitilafu hadi nikasahau(bahati nzuri nilitafuta solution mbadala) siku wananipigia simu kuwa wamefika ilinichukua muda kukumbuka tatizo......

Hii kampuni ni ya hovyo sana!wanajua kabisa umeme ni hatari wanapoitwa wanabidi kufika kwa muda otherwise maafa yaweza tokea lakini wapo kinyume kabisa tuliwahi kuwaita ofs kwetu wakaja kesho yake wakati umeme uligusa paa na kuhatarisha uhai wetu!foo.s
 
Bora nyie hata simu wanapokea,na ili waje wanahitaji mlungula utafikiri hawalipwi mshahara.Tisa kumi hiyo emergency ya mkoa wa Ilala ndiyo ovyoo kabisa,nashangaa hatamabosi wao hawalioni hili.
 
heri nyie hawapokei simu mnakasirika na kuachana nalo, huku simu watapokea na kua hawaji, wanaishia kukupa namba, hapa nawaza hii namba walonipa, maelfu kadhaa watakuja leo kweli au by the time watakuja mpaka mstimu utakua umegeuka mkaa kwa cheche


Bora nyie hata simu wanapokea,na ili waje wanahitaji mlungula utafikiri hawalipwi mshahara.Tisa kumi hiyo emergency ya mkoa wa Ilala ndiyo ovyoo kabisa,nashangaa hatamabosi wao hawalioni hili.
 
ii wish ningekuwa na mbadala hapa ningeshauri watu tukatatua tatizo hili

yaani mtoa mada imekula kwake,
mie niliwahi waita kwangu kulikuwa na hitilafu hadi nikasahau(bahati nzuri nilitafuta solution mbadala) siku wananipigia simu kuwa wamefika ilinichukua muda kukumbuka tatizo......
 
Huku kwetu kuna nguzo imedondoka tangu mwishoni mwa December last year,hawajaja hawa jamaa,wanaamini ktk mlungula ndio waje.Usipotoa mlungula hawaji milele!labda umeme ulete madhara mengine kama kifo au kuungua nyumba.
 
Huku kwetu kuna nguzo imedondoka tangu mwishoni mwa December last year,hawajaja hawa jamaa,wanaamini ktk mlungula ndio waje.Usipotoa mlungula hawaji milele!labda umeme ulete madhara mengine kama kifo au kuungua nyumba.

duh! Kweli tanesco noma!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom