FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Sasa huyo muhusika anatofauti gani na roboti? Anajibu kama roboti, kwanini asifanye masiliano na Butiama, wamweleze nini wanafanya kutatua tatizo, na lini watatatua, ndio aje kujibu, sasa hicho alichojibu ni sawa na bure tuBila shaka mleta uzi umepata mwongozo.
Maana nimekuitia wahusika