Tanasco:-wakazi wa arusha tumewachoka.

Tanasco:-wakazi wa arusha tumewachoka.

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,062
Reaction score
3,280
Ivi kwann mnafanya hivi lakini ., kila dakika na kila siku nyie nikukata umeme tuu bila ratiba maalumu..
Mkijjsikia mnakata.

Halafu ni upande wa kuanzia kijenge kushuka Moshono... ndio mmeona ni watu wa kuwaonea .

Kila siku ni huko tu ... kila siku ..

Uvumilivu unaelekea kutushinda ..
Other wise ng'oeni nguzo zenu kabisa tujue hatuna umeme wenu ,tutafute njia njia mbadala kuliko haya mnayotufanyia.
 
hawa wapumbav hapa nipo gizani huku tabata kila ucku ukiingia hasa sa moja ucku na kuendlea,leo hi ni mara ya 3 wametukatia,, tangu sa moja usiku tena bila taarifa wanazima na kuwasha ni upuuy gani huu,kama lipo tatizo semeni ------
 
Acheni hizo! Y kila mara taneso? Mbona dawasco hailalamikiwi kivile? Mbona afya, Elimu barabara hazilalamikiwi? Tanesco wanajitahidi sana ukilinganisha na miundo mbinu iliyopo. Kama vp si ununue jenereta? Mbona umejichimbia kisima cha maji?
 
Acheni hizo! Y kila mara taneso? Mbona dawasco hailalamikiwi kivile? Mbona afya, Elimu barabara hazilalamikiwi? Tanesco wanajitahidi sana ukilinganisha na miundo mbinu iliyopo. Kama vp si ununue jenereta? Mbona umejichimbia kisima cha maji?
 
Back
Top Bottom