CAG amka baba
CAG amka baba
Nice move
Question is, is the projected inflow outweighing the invested capital?
What is the trend so far?
Mkuu
unamwamsha CAG ina maana hapo hakuna lolote zaidi ya ulaji tu? Ama unakusudia kusema neno halafu ukasita tafadhali sema nasi tujue. Nchi hii ina mambo mpaka woga
Nadhani kama hakuna fitna ni hatua nzuri.