TANAPA Sponsors SunderLand Team 2013/2014

Mkuu

unamwamsha CAG ina maana hapo hakuna lolote zaidi ya ulaji tu? Ama unakusudia kusema neno halafu ukasita tafadhali sema nasi tujue. Nchi hii ina mambo mpaka woga

Nadhani kama hakuna fitna ni hatua nzuri.

Bongo land kila kitI dili ww
 
The players wore special t-shirts ahead of the home clash with Liverpool following the announcement of the club’s new partnership with Tanzania, which sees the country become the ‘Official Destination Partner’ of Sunderland AFC.

SAFC - Tanzania shirts
SAFC - Tanzania partnership announced
View attachment 126248

View attachment 126250

View attachment 126252

Ni wazo zuri kutangaza Utalii wa nchi yetu lakini hatuwezi kukwepa aibu ya kutokuwa na Shirika la Ndege la Taifa litakaowaleta na kuwarudisha makwao watalii hao... Jambo la kuzingatia kwa TANAPA ni vyema sasa wakashirikiana na ATC kupata angalau ndege tano tu zitakazofanya kazi ya kubeba watalii hao..
..
 
kwa mujibu wa tafiti zilizofanyika watalii wengi wanaokuja nchini wanakuja baada ya kusimuliwa na wenzao dili nyingi za kutangaza utalii ni kujitengenezea ulaji kila siku tunasikia timu zetu za ngumi na riadha zinapoenda kuwakilisha mashindano ya kimataifa zinalalamika kushindwa kufanya maandalizi kutokana na ukosefu wa pesa kwanini tanapa hazizisaidii kwani zikifanya vyema zitaitangaza vizuri nchi yetu halafu wanatudanganya sunderland wanakuja kuwekeza kwenye soka Tanzania kumbe ni pesa za TANAPA tujifunze kwa nchi zinazoendelea kwenye utalii duniani wanatumia njia gani kutangaza utalii wapo pia tuangalie kwenye takwimu watalii wengi wanatoka wapi ,tuangalie gharama za hoteli zetu,miundo mbinu ya kwenda kwenye vivutio vya utalii hapo ndio tutajua kama uwekezaji huo ni sahihi

Isitoshe hawa jamaa wametangaza utalii UK lakini ni asilimia ngapi ya watalii wanaotoka UK compared to those that come from the rest of the world?
 
tempRM5_8922--nfl_mezz_1280_1024.jpg
 
Back
Top Bottom