Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku NgalaMpendwa kwema? Heri ya pasaka.
Usinisahau Id
Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku NgalaMpendwa kwema? Heri ya pasaka.
Usinisahau Id
Manina zenu BK, sambusa za senene?View attachment 1264333
View attachment 1285645
Inaboa uzi mrefu kuunganishwa. Mods acheni wivu. Sijui niwatukane aah tatizo mnaringia kitisho cha Ban
I miss my thread "Njoo tucheke pamoja"
Ngala tena?!! Jana ni kama ulipita Shekilango?Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku Ngala
😂😂😂Nimeamini ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mpendwa ndio nipo Ngala nimekuja na usafiri wetu wa ki Africa usiku🤪Ngala tena?!! Jana ni kama ulipita Shekilango?
Nimeamini ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mpendwa ndio nipo Ngala nimekuja na usafiri wetu wa ki Africa usiku
![]()









Ila Ankoo why umeniumbua jukwaani 😬😬😬😂😂😂
Wasalimie sana huko, itakuwa macho yangu makengeza
Ankoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesaIla Ankoo why umeniumbua jukwaani![]()



. Unavyo rudi nipitie K9Yaaani huwa unapita kwenye comments kimyakimya hata ulaiki 😬😬🙆🏾🙆🏾Ankoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesa. Unavyo rudi nipitie K9
Natamani nikudai thikukuu yangu... Au basiNaona dada ana mafua
Natamani nikudai thikukuu yangu... Au basi

Happy easter ankoo
Pilau halijabaki nije?hata ukoko nakula![]()




