WTF [emoji23][emoji23][emoji23]Penzi jipya bhana yan mda huo huo mna chat whatsapp, Instagram, telegram,facebook na sms za kawaida halafu kote mada tofauti[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Ama kwa hakika penzi jipya ni tamu sana!Penzi jipya bhana yan mda huo huo mna chat whatsapp, Instagram, telegram,facebook na sms za kawaida halafu kote mada tofauti[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Penzi jipya bhana yan mda huo huo mna chat whatsapp, Instagram, telegram,facebook na sms za kawaida halafu kote mada tofauti[emoji23][emoji23]
Hapo umesahau..unaenda google na kuiomba ikwambie kwa nini mpenx wako anakupenda vile....hahaPenzi jipya bhana yan mda huo huo mna chat whatsapp, Instagram, telegram,facebook na sms za kawaida halafu kote mada tofauti[emoji23][emoji23]
Hahahaha!penz jipya linakuwa na freak out zake hakiii[emoji23][emoji23]umesahau kukopi zile text messages za mapenzi google [emoji23][emoji23]
Na ile mshaongea na simu mda wa kukata kila mtu anamwambia mwenzake kata wewe mara ghafla mada mpya inaibuka maongezi yanaendelea dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ama kwa hakika penzi jipya ni tamu sana!
[emoji1787]kata wewe bhana utasikia hapana kata wewe basi hatari sana simu mnaongea zaid ya masaa sita halafu sasa cha maana hamnaga[emoji1787]Na ile mshaongea na simu mda wa kukata kila mtu anamwambia mwenzake kata wewe mara ghafla mada mpya inaibuka maongezi yanaendelea dah [emoji23][emoji23]
Tena sijui lina nguvu gani.Penzi jipya bhana yan mda huo huo mna chat whatsapp, Instagram, telegram,facebook na sms za kawaida halafu kote mada tofauti[emoji23][emoji23]
Yaani bwana sijui kuna siri gani kwenye hawa wadhungu....ukishamwagia mwanamke mara mbili tatu basi uzuri wake wote unapotea ghaflayan kwisha habar taratibu vitu vinaanza kupunguzwa