Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,041
- 71,286
Mkuu NiPM ivo vitabu Kaka.Tatizo una uelewa mdogo wa masuala ya Imani ya Kimungu. Na kamwe Imani haithibitishwi na "Idea" za watu. Imani hujithibitisha yenyewe ukiwa unatafuta vitu vya kusoma ili kuProve imani basi hata Hadithi ya Sadiki na chitemo unaweza kuitumia.
Hiyo ni talent tu inayotoka kwa Mungu, ukisoma Kazi za Tolkien au Stan Lee utakuja kusema kwamba hawa watu walikua mashetani kwa kutengeneza imaginary characters and universe. Kwa Tolkien na Stan Lee, George RR Martin haiingii hata robo.
Soma, nikikupa kitabu kimoja cha Saint Thomas Aquinas ukakisoma kitakuondolea ufinyu wote wa imani utakaokuanao