Tamko la wanavuguvugu wa UDSM kuhusu hela za field

mtanganyika wa kweli

JF-Expert Member
Apr 12, 2015
2,420
1,717
Kichwa cha habari kinajieleza!


84df9e5ed4bdca6752224c9a66b2b9ce.jpg
 
Mkuu ndio umemaliza hapo? Hebu tujuze zaidi bhanaaa unakuwa kama sio msomi!
 
Revolution square ya siku hizi imepandwa ukoka na kuzungushiwa fence, au mna nyingine Wana "Vuguvugu"??? Anyway.. Ngoja tumalize mkutano Kwanza huku Kati..
 
Tamko sijui limeandikwa na division 5? Hawa ndo wasomi wetu!!
 
Yaani wanafunzi kimya tupu,hivi hao marais vyuoni mnawachaguaga wawaibie?.hebu chukueni hatua kali zaidi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom