Tamko la UVCCM mkoa wa Arusha kuhusu Lowassa

Tamko la UVCCM mkoa wa Arusha kuhusu Lowassa

Wana jitekenya wenyewe hawa UVCCM Arusha yenyewe hawaelewani kila mmoja anatoa hoja yake hakuna maelewano ndani yao, wanajipooza tu kwa kuwa hawana amani wameshindwa ligi ya siasa na UKAWA.
 
Hivi kile chungu kilichokua kivunjwe na yule mgombea wa chama cha majipu aliyeshidwa kwenye ubunge ameshavunjaga?
 
Sawa kabisa mbona wengine waliobaki sisiemu ujawataja unazngka kmsengenya lowasa
 
Hivi kile chungu kilichokua kivunjwe na yule mgombea wa chama cha majipu aliyeshidwa kwenye ubunge ameshavunjaga?
Tehetehe, juzi nilipita skani la ccm ambao walipewa unga na jamaa nikishuhudia, jana nikawakuta kama kawaida yao wamekaa kijiweni wanakula mirungi ( asilimia kubwa ya vijana na wazee wa ccm Arusha hawajishughulishi na kazi wamekaa kusubiri kodi ya nyumba kutoka kwenye magofu ya urithi) nikawaambia vipi? Yule muheshimiwa mbona haji tena na unga au mmeacha kula? Hata hivyo mwambieni alete sukari sasa unga mnaumudu, weeee nilioga mvua ya matusi nikanyamaza walipotulia nikawaambia naona Kitwanga aliwatembelea leo siwajibu mpaka akili iwakae sawa, nikawaacha wanatoa povu la kijani mdomoni maana walijaza mirungi kama ng'ombe anacheua zizini.
 
Back
Top Bottom