Tamko la TYP juu ya MCC

Joshua Haji

Senior Member
Nov 4, 2011
108
20
410a9d601e42e1353daf5b02a3594d97.jpg


TAMKO LA TYP JUU YA HATUA ILIYOFIKIWA NA BODI YA MCC KUSITISHA MISAADA YOTE NCHINI

Tanzania Youth Patriots (TYP) Imepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa ya Maamuzi ambayo Bodi ya MCC Imeyafikia hivi karibuni, ni dhahiri shairi kuwa hata kama tunaweza kupata fedha za kujihudumia kwenye maeneo ambayo awali walikuwa wanatusaidia ni wazi kwamba tutatetereka kidogo hata kuweza kusimama kwa Miguu yetu miwili kwa Ukamilifu.

Ikumbukwe kuwa Sababu zilizopelekea Wahisani wetu Kufikia uamuzi huo zimetokana na Masharti ambayo yamewekwa kama Vigezo kwa Nchi Husika kutimiza ili iweze kunufaika na Hisani hiyo. Kuzingatia Demokrasia na Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao Nchini vimekua Chanzo Cha Wahisani Hao Kufikia Maamuzi ya Kusitisha Kabisa Msaada wote ambao ulikuwa unafikia Takribani Trillioni 1. 4 za Kitanzania.

Kwa Tafsiri iliyopo Katika Jumuiya za Kimataifa hasa Marekani na Ulaya, Sheria mpya ya Uhalifu wa Mitandao imeonekana Ikikandamiza Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao kwa Uwazi na Maamuzi ya ZEC Kufuta Kabisa na Kurudia Uchaguzi wote Visiwani Zanzibar pia imeonekana ni Hatua ya Kukandamiza Demokrasia kwa Wazi.

TYP inatoa Wito kwa Serikali Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuona sasa ni Aibu kwa Nchi yetu kwa Mara ya kwanza Kwenye Karne Hii ya Ishirini na Moja kuwekewa Vizuizi vya Kiuchumi ili Kusimamia Kile ambacho Dunia na Watanzania wengi kwa Ujumla wanaamini ndio Haki.Sisi Kama Taifa Huru Linaloheshimu Misingi ya Haki na Demokrasia hatutangojea Shinikizo kutoka Nje litusaidie kuchukua Maamuzi sahihi kwa Mustakabari wa Taifa Letu na Watu wake Kwa Ujumla.

Tunaitaka Serikali kupitia Wizara Husika isimamie Mara moja Marekebisho ya Sheria Hii ya Uhalifu wa Mitandao na kuwasilisha Muswaada Bungeni mapema katika Vikao Vijavyo vya Bunge ili Kusimamia Misingi ya Uhuru wa watu kutoa Maoni yao Kama tulivyowashiriki wake. Hali kadhalika, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Vyama Vya Siasa Husika na Jumuiya Mbalimbali kwa Pamoja vikae Chini kuhakikisha Suluhu ya kuleta Umoja kupitia Mchakato wa Maridhiano baina ya Pande Kuu Mbili zinazovutana unaleta Muafaka.

Ni rai yetu kuwa Serikali yetu Sikivu na yenye kutenda haki kama inavyojipambanua kupitia kwa Mh Rais John Pombe Magufuli itafanyia kazi Maoni yetu na ya wadau wengine juu ya suala hili Lililochukua taswira ya Kidiplomasia.

Imetolewa na :-

Idara ya Habari na Mahusiano

TYP Taifa.
 
Haya ndio matamko yenye akili.
Tusitumie muda mwingi kulaumu marekani wakati mambo wanayoyahoji yanamsingi.
Tena wengine wanaenda mbali zaidi kujifananisha na misri na Libya, binafsi sababu walizotoa sio za kuzikebehi inabidi kama taifa viongozi wetu wajitafakari na kuona turekebishe wapi.

Ni aibu kujifanya hatutaki misaada wakati hatukujiandaa kutokupokea misaada. Ushahidi ni kuwa muulize mwanasiasa yoyote akupe plan ya muda mrefu na mfupi ya kutokuomba msaada taifa hili. Wananchi hawajui ni lini? mwaka gani?,mwezi Wa ngapi,? kwa resource zipi?,na juhudi zipi?zikiongozwa na wakina nani?wao watachangia vipi? Taifa hili litaacha kuombaomba.

Tunakabiliwa na laana ya rasilimali. Tunahitaji vuguvugu LA kitaifa LA kizalendo bila siasa kubadili mindset ya wananchi wote waliojiikatia tamaa na rasilimali zao kwa kuona zinawanufaisha wabinafsi wachache.
Hili inabidi lifanyike kabla ya kuweka mikakati ya kujitegemea kibudget.
 
410a9d601e42e1353daf5b02a3594d97.jpg


TAMKO LA TYP JUU YA HATUA ILIYOFIKIWA NA BODI YA MCC KUSITISHA MISAADA YOTE NCHINI

Tanzania Youth Patriots (TYP) Imepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa ya Maamuzi ambayo Bodi ya MCC Imeyafikia hivi karibuni, ni dhahiri shairi kuwa hata kama tunaweza kupata fedha za kujihudumia kwenye maeneo ambayo awali walikuwa wanatusaidia ni wazi kwamba tutatetereka kidogo hata kuweza kusimama kwa Miguu yetu miwili kwa Ukamilifu.

Ikumbukwe kuwa Sababu zilizopelekea Wahisani wetu Kufikia uamuzi huo zimetokana na Masharti ambayo yamewekwa kama Vigezo kwa Nchi Husika kutimiza ili iweze kunufaika na Hisani hiyo. Kuzingatia Demokrasia na Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao Nchini vimekua Chanzo Cha Wahisani Hao Kufikia Maamuzi ya Kusitisha Kabisa Msaada wote ambao ulikuwa unafikia Takribani Trillioni 1. 4 za Kitanzania.

Kwa Tafsiri iliyopo Katika Jumuiya za Kimataifa hasa Marekani na Ulaya, Sheria mpya ya Uhalifu wa Mitandao imeonekana Ikikandamiza Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao kwa Uwazi na Maamuzi ya ZEC Kufuta Kabisa na Kurudia Uchaguzi wote Visiwani Zanzibar pia imeonekana ni Hatua ya Kukandamiza Demokrasia kwa Wazi.

TYP inatoa Wito kwa Serikali Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuona sasa ni Aibu kwa Nchi yetu kwa Mara ya kwanza Kwenye Karne Hii ya Ishirini na Moja kuwekewa Vizuizi vya Kiuchumi ili Kusimamia Kile ambacho Dunia na Watanzania wengi kwa Ujumla wanaamini ndio Haki.Sisi Kama Taifa Huru Linaloheshimu Misingi ya Haki na Demokrasia hatutangojea Shinikizo kutoka Nje litusaidie kuchukua Maamuzi sahihi kwa Mustakabari wa Taifa Letu na Watu wake Kwa Ujumla.

Tunaitaka Serikali kupitia Wizara Husika isimamie Mara moja Marekebisho ya Sheria Hii ya Uhalifu wa Mitandao na kuwasilisha Muswaada Bungeni mapema katika Vikao Vijavyo vya Bunge ili Kusimamia Misingi ya Uhuru wa watu kutoa Maoni yao Kama tulivyowashiriki wake. Hali kadhalika, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Vyama Vya Siasa Husika na Jumuiya Mbalimbali kwa Pamoja vikae Chini kuhakikisha Suluhu ya kuleta Umoja kupitia Mchakato wa Maridhiano baina ya Pande Kuu Mbili zinazovutana unaleta Muafaka.

Ni rai yetu kuwa Serikali yetu Sikivu na yenye kutenda haki kama inavyojipambanua kupitia kwa Mh Rais John Pombe Magufuli itafanyia kazi Maoni yetu na ya wadau wengine juu ya suala hili Lililochukua taswira ya Kidiplomasia.

Imetolewa na :-

Idara ya Habari na Mahusiano

TYP Taifa.
Wacheni upumbavu...hivi kwa akili zenu US waamue mambo ya ndani....halafu ndio mnasema mna ukombozi wa fikra....naona sasa mmechoka kuzungusha mikono mmeanza kuzungusha viuno,mtashindwa tu.
 
Wacheni upumbavu...hivi kwa akili zenu US waamue mambo ya ndani....halafu ndio mnasema mna ukombozi wa fikra....naona sasa mmechoka kuzungusha mikono mmeanza kuzungusha viuno,mtashindwa tu.
Hakuna Nchi Huru inayoamuliwa Mambo yake LKN Makubaliano ya Kimataifa kama wewe ni Nchi Shirika ukienda Kinyume Basi wenzako hawana Budi bali kukuonyesha kwa Vitendo ili Ikusaidie kubadilika. Kwa Nchi maskini kama Yetu tegemea Vikwazo vya Kiuchumi... Hii yote ni Catalyst Uamuzi ni wetu Mkuu!!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
410a9d601e42e1353daf5b02a3594d97.jpg


TAMKO LA TYP JUU YA HATUA ILIYOFIKIWA NA BODI YA MCC KUSITISHA MISAADA YOTE NCHINI

Tanzania Youth Patriots (TYP) Imepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa ya Maamuzi ambayo Bodi ya MCC Imeyafikia hivi karibuni, ni dhahiri shairi kuwa hata kama tunaweza kupata fedha za kujihudumia kwenye maeneo ambayo awali walikuwa wanatusaidia ni wazi kwamba tutatetereka kidogo hata kuweza kusimama kwa Miguu yetu miwili kwa Ukamilifu.

Ikumbukwe kuwa Sababu zilizopelekea Wahisani wetu Kufikia uamuzi huo zimetokana na Masharti ambayo yamewekwa kama Vigezo kwa Nchi Husika kutimiza ili iweze kunufaika na Hisani hiyo. Kuzingatia Demokrasia na Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao Nchini vimekua Chanzo Cha Wahisani Hao Kufikia Maamuzi ya Kusitisha Kabisa Msaada wote ambao ulikuwa unafikia Takribani Trillioni 1. 4 za Kitanzania.

Kwa Tafsiri iliyopo Katika Jumuiya za Kimataifa hasa Marekani na Ulaya, Sheria mpya ya Uhalifu wa Mitandao imeonekana Ikikandamiza Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao kwa Uwazi na Maamuzi ya ZEC Kufuta Kabisa na Kurudia Uchaguzi wote Visiwani Zanzibar pia imeonekana ni Hatua ya Kukandamiza Demokrasia kwa Wazi.

TYP inatoa Wito kwa Serikali Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuona sasa ni Aibu kwa Nchi yetu kwa Mara ya kwanza Kwenye Karne Hii ya Ishirini na Moja kuwekewa Vizuizi vya Kiuchumi ili Kusimamia Kile ambacho Dunia na Watanzania wengi kwa Ujumla wanaamini ndio Haki.Sisi Kama Taifa Huru Linaloheshimu Misingi ya Haki na Demokrasia hatutangojea Shinikizo kutoka Nje litusaidie kuchukua Maamuzi sahihi kwa Mustakabari wa Taifa Letu na Watu wake Kwa Ujumla.

Tunaitaka Serikali kupitia Wizara Husika isimamie Mara moja Marekebisho ya Sheria Hii ya Uhalifu wa Mitandao na kuwasilisha Muswaada Bungeni mapema katika Vikao Vijavyo vya Bunge ili Kusimamia Misingi ya Uhuru wa watu kutoa Maoni yao Kama tulivyowashiriki wake. Hali kadhalika, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Vyama Vya Siasa Husika na Jumuiya Mbalimbali kwa Pamoja vikae Chini kuhakikisha Suluhu ya kuleta Umoja kupitia Mchakato wa Maridhiano baina ya Pande Kuu Mbili zinazovutana unaleta Muafaka.

Ni rai yetu kuwa Serikali yetu Sikivu na yenye kutenda haki kama inavyojipambanua kupitia kwa Mh Rais John Pombe Magufuli itafanyia kazi Maoni yetu na ya wadau wengine juu ya suala hili Lililochukua taswira ya Kidiplomasia.

Imetolewa na :-

Idara ya Habari na Mahusiano

TYP Taifa.
Kwani uwezo wetu wa kufikiri unaishia hapa? Hivi kweli Nchi Haiwezi kutafuta trilioni moja mpaka Tutoe mapovu namna Hii?
 
Misaada Bila Masharti! Misaada Bila Motive... hv hawa Wazungu tunawachukuliaje!? kwamba wanahela nyiiingi hazinaga Kazi wala hawazioneagi Uchungu.

Nyie wenyewe ni mashahidi na fedha zenu hata kwa watoto na ndugu zenu. Mfano rahisi JPM Juzi kasema Mtoto anaesomeshwa Bure mpaka Form4 akapata Zero anastahili kufungwa Jela ..

Kumbuka hiyo ni hela inayotokana na Kodi za ndugu jamaa pengine na yeye Mwenyewe Lkn bado Inauma kupotea kijinga.

Sasa huyo Kijana hastahili kusema Anaingiliwa Uhuru wake?? na kwamba Yeye Kama Taasisi Ya Kijana Huru hatakiwi kuingiliwa suala la Ufaulu wake sababu tu analipiwa Ada??Na yeye aseme atajifunza kuanza kujisomesha Mwenyewe !??

Najua wengi watasema Bishop Bana
 
Hakuna Nchi Huru inayoamuliwa Mambo yake LKN Makubaliano ya Kimataifa kama wewe ni Nchi Shirika ukienda Kinyume Basi wenzako hawana Budi bali kukuonyesha kwa Vitendo ili Ikusaidie kubadilika. Kwa Nchi maskini kama Yetu tegemea Vikwazo vya Kiuchumi... Hii yote ni Catalyst Uamuzi ni wetu Mkuu!!
Hao baba zenu Marekani wanawafunga watu bila kuwahoji Guantanamo,Snowden na Julian wa Wikileaks leo wamekimbia nchi kwa sheria za cyber crime,je unajuwa kuwa Symbion ni Richmond ambayo US wameficha uozo wao?..kama ni msaada wakate tu,leo wanajipanga jinsi ya kumkata Triump....fungukeni akili madogo...hivi hamjui kwamba us kupitia luwasa wameshindwa uchaguzi,2015?..wacha kutumika ukiwa kijana.
 
Hao baba zenu Marekani wanawafunga watu bila kuwahoji Guantanamo,Snowden na Julian wa Wikileaks leo wamekimbia nchi kwa sheria za cyber crime,je unajuwa kuwa Symbion ni Richmond ambayo US wameficha uozo wao?..kama ni msaada wakate tu,leo wanajipanga jinsi ya kumkata Triump....fungukeni akili madogo...hivi hamjui kwamba us kupitia luwasa wameshindwa uchaguzi,2015?..wacha kutumika ukiwa kijana.
MCC is a good Idea, kama mchakato wake huko Senate na kwa Mama Hillary wali Lobby kwa faida yao Japo ikaangukia Tz FBI ikimaliza Kazi yake tutajua,Again toa Obsession zako na Lowasaa weka Politics Aside. Unabariki kilichotokea Zanzibar!? Hauoni Uonevu wa Cybercrime Law!? haya ni masuala madogo ambayo wakusolve ni sisi wenyewe, Je tusolve kwa Gharama ya Kukosa Umeme nafuu Vijijini? what next!? Maji!? Biashara ya Kimataifa!?? Madawa!?? Teknolojia!? Ujuzi??
 
MCC is a good Idea, kama mchakato wake huko Senate na kwa Mama Hillary wali Lobby kwa faida yao Japo ikaangukia Tz FBI ikimaliza Kazi yake tutajua,Again toa Obsession zako na Lowasaa weka Politics Aside. Unabariki kilichotokea Zanzibar!? Hauoni Uonevu wa Cybercrime Law!? haya ni masuala madogo ambayo wakusolve ni sisi wenyewe, Je tusolve kwa Gharama ya Kukosa Umeme nafuu Vijijini? what next!? Maji!? Biashara ya Kimataifa!?? Madawa!?? Teknolojia!? Ujuzi??
Akili yako inakutuma marekani ndio kila kitu!...nimekuonyesha tu nongwa na gubu ya wamarekani...lazima pia ujue hata bujeti zao zinamapungufu na aibu ya upungufu huo huamishia afrika.
 
Akili yako inakutuma marekani ndio kila kitu!...nimekuonyesha tu nongwa na gubu ya wamarekani...lazima pia ujue hata bujeti zao zinamapungufu na aibu ya upungufu huo huamishia afrika.
Wait Until other Countries follow suit then utajua tofauti kati ya Marekani na Neno Jumuiya ya Kimataifa
 
Wait Until other Countries follow suit then utajua tofauti kati ya Marekani na Neno Jumuiya ya Kimataifa
Siasa za ramli...na isipotokea?..dogo kwani wewe nyumbani mnaishi kwa msaada?..na je msaada/ombaomba ilishawahi kuondoa umaskini...tatizo mnaendesha NGOs kutegemea donors..you must act and think for them...puppets!
 
Ingekuwa CHINA kidogo ningeogop lakin kwa USA haina shida..............mana hawa wanakupangia v2 kwa interest yao na sio kukusaidia kutoka kwenye matatzo
 
MCC is a good Idea, kama mchakato wake huko Senate na kwa Mama Hillary wali Lobby kwa faida yao Japo ikaangukia Tz FBI ikimaliza Kazi yake tutajua,Again toa Obsession zako na Lowasaa weka Politics Aside. Unabariki kilichotokea Zanzibar!? Hauoni Uonevu wa Cybercrime Law!? haya ni masuala madogo ambayo wakusolve ni sisi wenyewe, Je tusolve kwa Gharama ya Kukosa Umeme nafuu Vijijini? what next!? Maji!? Biashara ya Kimataifa!?? Madawa!?? Teknolojia!? Ujuzi??
Hivi tunapokosea mambo yetu ya ndani kimbilio pekee liwe WAFADHILI wakate misaada!? Wapinzani wa Ghadafi pia walijidanganya pia wakadhani USA ndo bwana yao, leo hata wao wanaikimbia nchi yao!

Nasikitishwa sana na vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa kushabikia vijimisaada kana kwamba nao ni wazee wanaosaidiwa huko makambini!

Ndo maana huwa sishangai vijana wengi sasa hivi mmekuwa MASHOGA na WASAGAJI! Yote hii ni matokeo ya UVIVU na kupenda kupanda ndege!

Endeleeni KUBONG'OA - By MMM
 
410a9d601e42e1353daf5b02a3594d97.jpg


TAMKO LA TYP JUU YA HATUA ILIYOFIKIWA NA BODI YA MCC KUSITISHA MISAADA YOTE NCHINI

Tanzania Youth Patriots (TYP) Imepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa ya Maamuzi ambayo Bodi ya MCC Imeyafikia hivi karibuni, ni dhahiri shairi kuwa hata kama tunaweza kupata fedha za kujihudumia kwenye maeneo ambayo awali walikuwa wanatusaidia ni wazi kwamba tutatetereka kidogo hata kuweza kusimama kwa Miguu yetu miwili kwa Ukamilifu.

Ikumbukwe kuwa Sababu zilizopelekea Wahisani wetu Kufikia uamuzi huo zimetokana na Masharti ambayo yamewekwa kama Vigezo kwa Nchi Husika kutimiza ili iweze kunufaika na Hisani hiyo. Kuzingatia Demokrasia na Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao Nchini vimekua Chanzo Cha Wahisani Hao Kufikia Maamuzi ya Kusitisha Kabisa Msaada wote ambao ulikuwa unafikia Takribani Trillioni 1. 4 za Kitanzania.

Kwa Tafsiri iliyopo Katika Jumuiya za Kimataifa hasa Marekani na Ulaya, Sheria mpya ya Uhalifu wa Mitandao imeonekana Ikikandamiza Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao kwa Uwazi na Maamuzi ya ZEC Kufuta Kabisa na Kurudia Uchaguzi wote Visiwani Zanzibar pia imeonekana ni Hatua ya Kukandamiza Demokrasia kwa Wazi.

TYP inatoa Wito kwa Serikali Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuona sasa ni Aibu kwa Nchi yetu kwa Mara ya kwanza Kwenye Karne Hii ya Ishirini na Moja kuwekewa Vizuizi vya Kiuchumi ili Kusimamia Kile ambacho Dunia na Watanzania wengi kwa Ujumla wanaamini ndio Haki.Sisi Kama Taifa Huru Linaloheshimu Misingi ya Haki na Demokrasia hatutangojea Shinikizo kutoka Nje litusaidie kuchukua Maamuzi sahihi kwa Mustakabari wa Taifa Letu na Watu wake Kwa Ujumla.

Tunaitaka Serikali kupitia Wizara Husika isimamie Mara moja Marekebisho ya Sheria Hii ya Uhalifu wa Mitandao na kuwasilisha Muswaada Bungeni mapema katika Vikao Vijavyo vya Bunge ili Kusimamia Misingi ya Uhuru wa watu kutoa Maoni yao Kama tulivyowashiriki wake. Hali kadhalika, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Vyama Vya Siasa Husika na Jumuiya Mbalimbali kwa Pamoja vikae Chini kuhakikisha Suluhu ya kuleta Umoja kupitia Mchakato wa Maridhiano baina ya Pande Kuu Mbili zinazovutana unaleta Muafaka.

Ni rai yetu kuwa Serikali yetu Sikivu na yenye kutenda haki kama inavyojipambanua kupitia kwa Mh Rais John Pombe Magufuli itafanyia kazi Maoni yetu na ya wadau wengine juu ya suala hili Lililochukua taswira ya Kidiplomasia.

Imetolewa na :-

Idara ya Habari na Mahusiano

TYP Taifa.

Duh, hawa wanajiita Tanzania Youth Patriots ? Mbona inaelekea ni kinyume chake? Moderators naomba radhi kidogo kwa leo, nawaombeeni nitumie neno moja ambalo huwa sipendi kulitumia, nalo ni 'mjinga'. Nadhani hawa TYP ni 'wajinga' kwa maana hawana elimu ya kutosha kuhusu nchi yao. Ni vema vijana hawa waelimishwe zaidi.
 
410a9d601e42e1353daf5b02a3594d97.jpg


TAMKO LA TYP JUU YA HATUA ILIYOFIKIWA NA BODI YA MCC KUSITISHA MISAADA YOTE NCHINI

Tanzania Youth Patriots (TYP) Imepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa ya Maamuzi ambayo Bodi ya MCC Imeyafikia hivi karibuni, ni dhahiri shairi kuwa hata kama tunaweza kupata fedha za kujihudumia kwenye maeneo ambayo awali walikuwa wanatusaidia ni wazi kwamba tutatetereka kidogo hata kuweza kusimama kwa Miguu yetu miwili kwa Ukamilifu.

Ikumbukwe kuwa Sababu zilizopelekea Wahisani wetu Kufikia uamuzi huo zimetokana na Masharti ambayo yamewekwa kama Vigezo kwa Nchi Husika kutimiza ili iweze kunufaika na Hisani hiyo. Kuzingatia Demokrasia na Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao Nchini vimekua Chanzo Cha Wahisani Hao Kufikia Maamuzi ya Kusitisha Kabisa Msaada wote ambao ulikuwa unafikia Takribani Trillioni 1. 4 za Kitanzania.

Kwa Tafsiri iliyopo Katika Jumuiya za Kimataifa hasa Marekani na Ulaya, Sheria mpya ya Uhalifu wa Mitandao imeonekana Ikikandamiza Uhuru wa Watu kutoa Maoni Yao kwa Uwazi na Maamuzi ya ZEC Kufuta Kabisa na Kurudia Uchaguzi wote Visiwani Zanzibar pia imeonekana ni Hatua ya Kukandamiza Demokrasia kwa Wazi.

TYP inatoa Wito kwa Serikali Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuona sasa ni Aibu kwa Nchi yetu kwa Mara ya kwanza Kwenye Karne Hii ya Ishirini na Moja kuwekewa Vizuizi vya Kiuchumi ili Kusimamia Kile ambacho Dunia na Watanzania wengi kwa Ujumla wanaamini ndio Haki.Sisi Kama Taifa Huru Linaloheshimu Misingi ya Haki na Demokrasia hatutangojea Shinikizo kutoka Nje litusaidie kuchukua Maamuzi sahihi kwa Mustakabari wa Taifa Letu na Watu wake Kwa Ujumla.

Tunaitaka Serikali kupitia Wizara Husika isimamie Mara moja Marekebisho ya Sheria Hii ya Uhalifu wa Mitandao na kuwasilisha Muswaada Bungeni mapema katika Vikao Vijavyo vya Bunge ili Kusimamia Misingi ya Uhuru wa watu kutoa Maoni yao Kama tulivyowashiriki wake. Hali kadhalika, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Vyama Vya Siasa Husika na Jumuiya Mbalimbali kwa Pamoja vikae Chini kuhakikisha Suluhu ya kuleta Umoja kupitia Mchakato wa Maridhiano baina ya Pande Kuu Mbili zinazovutana unaleta Muafaka.

Ni rai yetu kuwa Serikali yetu Sikivu na yenye kutenda haki kama inavyojipambanua kupitia kwa Mh Rais John Pombe Magufuli itafanyia kazi Maoni yetu na ya wadau wengine juu ya suala hili Lililochukua taswira ya Kidiplomasia.

Imetolewa na :-

Idara ya Habari na Mahusiano

TYP Taifa.
Hopeless observations, uchaguzi umeshaisha ilihali wajinga wakijiweka kando, leo hii maridhiano yatatokea wapi tena. Wao ni hasa wabembelezwe kama mtoto mdogo aliyejisaidia kisha mama anataka amtawaze....acheni ujinga. Fanyeni kazi mjenge familia zenu na sio kujipendekeza kwa wazungu...mtapelekwa Mombasa bure shauri yenu
 
Hivi tunapokosea mambo yetu ya ndani kimbilio pekee liwe WAFADHILI wakate misaada!? Wapinzani wa Ghadafi pia walijidanganya pia wakadhani USA ndo bwana yao, leo hata wao wanaikimbia nchi yao!

Nasikitishwa sana na vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa kushabikia vijimisaada kana kwamba nao ni wazee wanaosaidiwa huko makambini!

Ndo maana huwa sishangai vijana wengi sasa hivi mmekuwa MASHOGA na WASAGAJI! Yote hii ni matokeo ya UVIVU na kupenda kupanda ndege!

Endeleeni KUBONG'OA - By MMM
Much respect MMM! Tangu juzi nawambia watu point hiyo hiyo ya kujibebisha kwa wazungu kuomba misaada. Ndio maana Mapunga yamejaa mjini hujawahi kuona, ashakum si matusi aisee nenda Znz ukajionee mwenyewe watoto wa kiume walivyoharibiwa. Yaani kuna project ya ujenzi inafanyika Pemba, vibarua wa kubeba zege na tofali wamekosekana imebidi mkandarasi afate vijana Tanga na Dar. Wao kazi yako kukaa maskani tu kusubiri misaada toka kwa ndugu na jamaa walioko ughaibuni ambao naamini pesa wanazipata kwa kufanya kazi. Wabongo tuamke jamani, slope hazifai
 
Back
Top Bottom