Anaongea profesa Maghembe anazungumzia umuhimu wa kilimo na kauli mbiu mbali mbali kama:- Kilimo ni uhai, kilimo cha kufa na kupona na sasa kilimo kwanza. Ila kinakua kwa 4.2% tu.
Anaongea profesa Maghembe anazungumzia umuhimu wa kilimo na kauli mbiu mbali mbali kama:- Kilimo ni uhai, kilimo cha kufa na kupona na sasa kilimo kwanza. Ila kinakua kwa 4.2% tu.
na asipotoa maamuzi alivyoahidi, watanzania wataamua wenyewe!
huu upepo ni mwingine, na mungu amewanyima ufahamu hawa magamba, mwaka huu mpaka watapata aibu
Yani hakuna jipya tutegemee kutoka kwa Pinda.
Ikulu imetoa taarifa kuwa Rais hana taarifa yoyote ya Pinda kuhusu mambo yaliyojiri bungeni.
Pamoja na hayo JK kasema "huu ni upepo utapita" sijui upepo upi!!!!!!!!!!!!