Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
hii inaonyesha jinsi gani RA alivyokuwa na fikira ndogo
manji mwezake kaweka madai ya kejeli ya tsh 1 alafu karudi nyuma RA kaingia kichwa kichwa sasa hivi atajua mahakamani kukoje
RA ana njia moja na yo ni kuwapa viongozi posho, lakini manji anajua ni nguvu ya wananchi, misaada yanga haiishi na mengi nae misaada haiishi, ukimwona mtu anamtetea RA ujue analipwa hana wider public support.
hajui corporate social responsibility
tungojee tuone kesi ya RA itakapotajwa hapo kisutu
manji mwezake kaweka madai ya kejeli ya tsh 1 alafu karudi nyuma RA kaingia kichwa kichwa sasa hivi atajua mahakamani kukoje
RA ana njia moja na yo ni kuwapa viongozi posho, lakini manji anajua ni nguvu ya wananchi, misaada yanga haiishi na mengi nae misaada haiishi, ukimwona mtu anamtetea RA ujue analipwa hana wider public support.
hajui corporate social responsibility
tungojee tuone kesi ya RA itakapotajwa hapo kisutu