Tamko la Mwigamba la uchakachuaji wa katiba ya CHADEMA na ombi kwa msajili wa vyama kuchukua hatua

Ni kweli mkuu lakini kinachoisumbua ccm ni tatizo dogo sana ambalo siku wakiligundua naamini wataongoza nchi hii mpaka basi,lakini tayari naona wameanza kujifunza na hasa kutokana na presure iliyokuwa ikitolewa nachadema!!
Tatizo lipi hilo mkuu. Nionavyo mimi, wananchi wapo tayari kuwapokea na kuwaamini wanasiasa wawe wa upinzani au wa ccm tatizo ni wanasiasa wenyewe, wanapoaminiwa, wanawadharau mf. Hili la chadema, km wangetumia mgogoro huu kuwafafanulia wananchi yale yanayoibuliwa na viongozi wenzao wangeendelea kuaminika zaidi
 
Tatizo lipi hilo mkuu. Nionavyo mimi, wananchi wapo tayari kuwapokea na kuwaamini wanasiasa wawe wa upinzani au wa ccm tatizo ni wanasiasa wenyewe, wanapoaminiwa, wanawadharau mf. Hili la chadema, km wangetumia mgogoro huu kuwafafanulia wananchi yale yanayoibuliwa na viongozi wenzao wangeendelea kuaminika zaidi

Mkuu kihachoisumbua ccm ni mazoea tu na ubabe!

Hakuna ubishi kwamba CCM ni chama imara ambacho kina sifa zote za kuongoza nchi na kinaheshimika Duniani kote!

Tatizo ni kwamba CCM inafika sehemu inajisahau na hasa kuhusiana na utekelezaji wa majukumu yake.
 
Naona sasa MACHUYA yameanza kujitenga na MCHELE hii inaonyesha wazi huyu jamaa ni mfinyu wa Fikra na hakustahili kuwa kiongozi wa Juu ngazi ya Mkoa. Haya anayoyawasilisha yaliisha jadiliwa na ukweli uliwekwa wazi juu ya nini kilifanyika wakati ule wa kuunda katiba Mpya hii anayozungumzia ya mwaka 2004 ni katiba MFU ambayo haipo.
Inaonyesha kwamba CDM mwanachama hawezi kusikilizwa kikaoni, ni vema hili suala liangaliwe (tuhuma za uchakachuwaji wa katiba) kama wewe ni kijana kama ambavyo kilio cha wanachadema ni mabadiliko ni wakati wa kupingana na vipengele tata kwenye katiba.
 
I can smell something fishy here, kwani huwa wanapewaga shilingi ngapi? Naiona roho ya usaliti at its climax! Kweli huyu bwana inamuuma kuchakachua katiba au kuna kitu kingine anakitegemea?

Manaake kule kupigwa pale mwanzo ilikuwa ni hoja ya unafiki, katika kikao cha chama yeye akawa anaposti kitu kingine against chama, mdomoni alikuwa anaongea kingine, kwenye laptop yake anaposti kitu kingine, unafiki wa hali ya juu! Hivi kumbe ndio maana Wassira alikuwa na uhakika kuiua CHADEMA mwaka huu, kumbe walikuwa wamejenga mtandao wao mkuubwa kiasi hiki!

Narudia kuwaasa vijana wa leo wenye roho ya usaliti kama ya huyu bwana, mwinsho wa usaliti ni kifo kama usipotubu, wasomaji wa biblia wanafahamu hivyo, Yuda baada ya usaliti alijinyonga, Peter baada ya usaliti alitubu na akaishi! Huyu ndugu the only solution ni kutubu not otherwise, the worst thing he is doing he is looking for the otherwise badala ya kutubu! You will endup committing suicide friend!
 
Inaonyesha kwamba CDM mwanachama hawezi kusikilizwa kikaoni, ni vema hili suala liangaliwe (tuhuma za uchakachuwaji wa katiba) kama wewe ni kijana kama ambavyo kilio cha wanachadema ni mabadiliko ni wakati wa kupingana na vipengele tata kwenye katiba.

Wewe ndugu, hamna kipengele tata, ilishafafanuliwa humu sio mala moja sevelar times, huyu bwana anakuja na hoja hiyohiyo tena with special intention i think! lakini amechemsha! It is too little too late! Chama hakiwezi sambaratika kwa hoja mfu kama hiyo, call it chama cha wachaga or otherwise or anything, it is still too little too late!

Mbinu za usambalatishaji vyama ya miaka kumi iliyopita haiwezi materialise carne hii, people are more smart this days, and kama kuna mtu anategemea hilo kutokea atasambalatika yeye not CHADEMA!
 
Inaonyesha kwamba CDM mwanachama hawezi kusikilizwa kikaoni, ni vema hili suala liangaliwe (tuhuma za uchakachuwaji wa katiba) kama wewe ni kijana kama ambavyo kilio cha wanachadema ni mabadiliko ni wakati wa kupingana na vipengele tata kwenye katiba.

Hata kama kuna vipengere tata inakuwaje ukae kimya ndani ya miaka 6 tangu kuundwa kwa katiba hii mpya unakuja kuanza kutoa mapungufu mwaka wa 7 hapo mwanzo ulikuwa wapi? cha muhimu ni kujiuliza hii katiba ya mwaka 2006 ni mpya au ni katiba ya zamani iliyofanyiwa marekebisho ukilitambua hilo sidhani kama utaendelea na mjadala.
 
Mngekuwa na akili mngejibu hoja za mkakati wa mabadiliko 2013, hata jamii ingewaona wa maana lakini hivi sasa nyie ni takataka afadhali ht ya UPDP ambacho hakina ht mwenyekiti wa mtaa

Kwa hiki ulichokiandika naona unatokea kwenye SERIKALI CHAKAVU, CHAMA CHAKAVU, MAWAZIRI CHAKAVU NA WABUNGE CHAKAVU kwani kama wote hao WAMECHAKAA sidhani kama wafuasi wao kama wewe watakuwa wapya
 
Kama katiba ya chama inachakachuliwa hivi shauri ya tamaa na ubinafsi je wakipewa dola itakuwaje?
 
Dr. Slaa alijiabisha sana alipodanganya watu kuwa kipengele hicho hakijawahi kuwepo kwenye katiba. Tangu wakati huo Slaa haaminiki tena maneno yake!
MSUKULE

Mwenzangu ni msukule!
Anawaza kimsukule!
Anaandika ili ale!
Watoto wasipige kelele!
Masadurini ana chale!
Zilizomgeuza akili!
Anawaza kwa vidole!
Kamanda siwe mpole!

Kuna viwango vya misukule!
Hiki ndio cha kilele!
Shime shime ishimile!
Tuunusuru msukule!
 
Naona sasa MACHUYA yameanza kujitenga na MCHELE hii inaonyesha wazi huyu jamaa ni mfinyu wa Fikra na hakustahili kuwa kiongozi wa Juu ngazi ya Mkoa. Haya anayoyawasilisha yaliisha jadiliwa na ukweli uliwekwa wazi juu ya nini kilifanyika wakati ule wa kuunda katiba Mpya hii anayozungumzia ya mwaka 2004 ni katiba MFU ambayo haipo.
Tukumbushe kidogo ufafanuzi wa jinsi gani kipengele hicho kilivoondolewa ulitolewa na nani na ulikuwaje? Jadili hoja kwa hoja na si matusi kwa binadamu mwenzio
 
huu ni ujinga kama sio ujuha , katiba anayosema ilibadilishwa vipengele na sio kuandikwa upya , yeye anataka msajili atumie kifungu cha 5.3.2 c cha mwaka 2004 , wakati huo huo anasema katiba ya chadema kifungu cha 6.3.2 c ......kuchanganyikiwa ni kubaya sana .........atafute njia mpya ya toke vipi sio hii.....
jibu hoja na si matusi
 
kama hako kakeki kadogo mlichonacho kanawafanya mnatoana ngeu kiasi hicho waungwana tunajiuliza mkikabidhiwa hiyo keki kubwa si mtamalizana kabisa?wasomi wenyewe mlionao wachache still ndio hao mnaowachukia na kukumbatia mambumbumbu tuwaeleweje?huwa najiuliza hivi kwa mfano leo ndio vuuub mmeingia madarakani huyo waziri wa elimu ndio anakuwa nani kwa mfano,Lema?Sugu?Msigwa?au wa fedha na uchumi ndio anakuwa nani vile?may be hisia zangu ziko sahihi,nyie nafasi nzuri kuliko zote mnazostahili kupata katika nchi hii ni hiyo mliyokuwa nayo,wapuliza kipenga wa kumwamsha bosi akumbuke majukumu yake.nyie ni wanaharakati zaidi ya viongozi coz hamna sifa za kutosha kuwafanya kuwa viongozi.ombeni kazi jahazi modern taarab mtafiti sana kule.
 
Back
Top Bottom