Kuna Tamko limetolewa na Ikulu hivi punde kuhusu mambo ya Open Government Partnership
sasa mbona hawasemi kitu kuhusu hili kama kweli wako serious?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/170168-wasiotaka-ikulu-iwe-na-website-hawa-hapa.html
sasa nahisi kuna wafadhili wameuliza kuhusu hili suala la open govt sasa Ikulu wamekurupuka kutoa tangazo Michuzi
kwa kifupu Michuzi blog ndio website rasmi ya Ikulu
sasa mbona hawasemi kitu kuhusu hili kama kweli wako serious?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/170168-wasiotaka-ikulu-iwe-na-website-hawa-hapa.html
sasa nahisi kuna wafadhili wameuliza kuhusu hili suala la open govt sasa Ikulu wamekurupuka kutoa tangazo Michuzi
kwa kifupu Michuzi blog ndio website rasmi ya Ikulu