Tamko la CHADEMA asili


Hivi hiki chama cha "Chadema Asili" kimesajiliwa na msajili mkuu wa vyama....?
Makao makuu yao yako wapi?
Mwenyekiti & Katibu wao ni nani?
Hawa ndo kindakindaki kweli Chadema. Kwasababu hawana mpunga ndo tatizo
 
watani wangu kwa hili nawaonea huruma mtu anawaweka kwenye bus la chama halafu analiuza huku lina watu ndani ila bei ni ile ile account itune wengine mtajijua
 
Mimi ninalolipinga kwa nguvu zote ni kitendo cha kupokea mafisadi na kuanzia kuwasafisha.
Chama chetu hakina tofauti na ile CCM ya Kikwete iliyofuga na kutetea ufisadi.
Ni wazi kwamba Magufuli akichukua CCM tutapotezwa muelekeo kama chama.
Lowassa asipoondolewa na kumuomba msamaha dokta Slaa tutaishia kufanya maigizo yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Umeona hiloo!
 

Hivi hiki chama cha "Chadema Asili" kimesajiliwa na msajili mkuu wa vyama....?
Makao makuu yao yako wapi?
Mwenyekiti & Katibu wao ni nani?
kamanda unauliza majibu kwa nini ??? siku zooote huulizi unakuja kuuliza leo! ! umechelewa sana
 
Msisahau kushiriki kwenye kura ya ndiooo...oo kwa wafadhili wenu
 
Ukawa Siyo chama Bali ni muungano wa vyama vilivyoungana kupambana chama cha Mafisadi kuliko chama chochote Tanzania.
hivi ni chama ni kwa sasa ambacho hakina mafisadi. naomba jibu. manake unaongea as if huku kwingine kuna malaika. Mbowe alisema "Ni nani kati yetu anayeweza kutoa boriti kwenye jicho la mwenzake "? tafakali
 
chadema asili wako wengi tu.wengi wamehama ccm wanaona angalau ccm ya magufuli inataka kukata kiu yao ya mabadiliko.chadema ya sahvi haieleweki kabisa inasimamia nn
Kwa hiyo wanahama CCM, basi mkakutane Dodoma.
 
hivi ni chama ni kwa sasa ambacho hakina mafisadi. naomba jibu. manake unaongea as if huku kwingine kuna malaika. Mbowe alisema "Ni nani kati yetu anayeweza kutoa boriti kwenye jicho la mwenzake "? tafakali
Basi kwa maneno hayo tu,ndio yaliweza kutulainisha!
 
Tunahitaji chadema asili iliyoundwa ktk misingi imara ya demokrasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…