Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
- Thread starter
-
- #81
Usifikiri kwa vile hutuoni Ccj basi tunasubiri mtuletee mabadiliko NO we are fighting on the other side of the mountain hamtuoni, ina maana na nyie Ccj mlisubiri wengine wawaanzishie mfumo wa vyama vingi halafu nyie muende kuomba usajili Idara ya maelezo huku mmevaa tai kubwa mkisindikizwa kwa ulinzi wa polisi, jueni kuwa kuna wenzenu walipoteza maisha kuupigania mfumo huu ambao baada ya miaka 15 ndiyo mnajitokeza, kwa hiyo msividharau vyama vingine mvipe heshima stahili.
Mpaka leo bado tu hajatengeneza huo msingi wa maandamano wakati muda umekwisha,leo ni tarehe 26 Mei sasa kama mko slow kiasi hicho maana yake hata mkipata usajili mtakuwa mmeshachelewa kujiandaa na uchaguzi mkuu kwa hali hii mlipaswa kuwa very fast ili mkimbizane na muda..Mtajipanga saa ngapi ili mshiriki uchaguzi Mkuu kama hata usajili wenyewe mnautafuta kwa mapozi hivyo..Sheria mpya ya uchaguzi inawataka kukusanya fedha pamoja na vifaa vyote vitakavyotumika wakati wa uchaguzi si chini ya siku 90 nyie bado mnajikongoja tu..Inakula kwenu!by the time mnapata usajili hamuwezi tena kushiriki uchaguzi kwa kuwa mmeshindwa kumeet matwaka ya sheria ya gharama za uchaguzi..Itakuwa imekula kwenu.
GS
Hawa jamaa nafikiri timing yao ni mbovu lini wataenda kwa wananchi, kama suala ni kushiriki uchaguzi kwa gharama yeyote nafikiri wana mis point, wangekuwa na busara wangesubiri wasajili baada ya uchaguzi watu wangewaelewa vinginevyo tuchukulie ni uroho wa madaraka au wanatafuta huruma ya wananchi au wanataka kuanzisha shari.
Mpaka leo bado tu hajatengeneza huo msingi wa maandamano wakati muda umekwisha,leo ni tarehe 26 Mei sasa kama mko slow kiasi hicho maana yake hata mkipata usajili mtakuwa mmeshachelewa kujiandaa na uchaguzi mkuu kwa hali hii mlipaswa kuwa very fast ili mkimbizane na muda..Mtajipanga saa ngapi ili mshiriki uchaguzi Mkuu kama hata usajili wenyewe mnautafuta kwa mapozi hivyo..Sheria mpya ya uchaguzi inawataka kukusanya fedha pamoja na vifaa vyote vitakavyotumika wakati wa uchaguzi si chini ya siku 90 nyie bado mnajikongoja tu..Inakula kwenu!by the time mnapata usajili hamuwezi tena kushiriki uchaguzi kwa kuwa mmeshindwa kumeet matwaka ya sheria ya gharama za uchaguzi..Itakuwa imekula kwenu.
Nimeipenda CCJ kwani imeweza kuifanya serikali ya CCM kuonyesha woga na sasa inaanza kujiumbua na kujikuta iko uchi hadharani. Kitendo cha Msajili cha kushindwa kutimiza wajibu wake kama ilivyoainishwa kwenye katiba kinatoa maswali mengi kuliko majibu. Hivi sasa ni wazi kuwa Tendwa kama alivyo Jaji Makame ni wakereketwa wa CCM na kama kawaida yao ya ulafi wako pale kuhakikisha huu utawala wa kifisadi hauondoki madarakani kwani wananufaika nao. Kwa bahati mbaya wameshindwa kwenda na wakati na kutambua kuwa huwezi kudanganya watu wote wakati wote - sana sana utajikuta unajidanganya mwenyewe kama Tendwa anavyojidanganya sasa. Tofauti na mbinu za vyama vilivyotangulia ambavyo vimejizatiti zaidi katika kukata matawi ya huo mbuyu (CCM) kwa dhana ya kuuangamiza, CCJ wameelekeza zaidi nguvu zao katika kukata mizizi ya huo huo mbuyu (CCM). Pamoja na vyama vingine kuendelea kuivua nguo serikali ya CCM, CCJ inataka kuhakikisha wenyewe wanazivua nguo zao kama anavyoanza kufanya Msajili Tendwa kama zezeta vile - patamu hapo.
Mimi nimeshampelekea text message, wewe hapo ulipo unasubiri nini ?
HofstedeWewe ni mzandiki, mzushi na muongo, acha kabisa kuniwekea maneno yako ebo!, nioneshe wapi nimeandika "CCm sasa wamekomaa?". We vipi wewe!!!
Sipendi malumbano ila kwa hili ngoja nikupe maelezo
1. 1995: CCM ilikuwa changa katika siasa za vyama vingi hivyo basi mbinu chafu kama za kuiba kura na kuvuruga uchaguzi walikuwa hawajajiweka sawa, ..............................................................................................
Sasa leo hii 2010 CCM wana uwezo wa kufanya watakavyo kuanzia kuiba kura na hata kuamrisha watendaji wao waliowaweka kutotangaza mpinzani kashinda mpaka wampe baraka Je kwa nini WANAOGOPA KUIPATIA CCJ USAJILI WA KUDUMU?
Lakini tuwe wa kweli jamani, CCJ inaweza kuwa tishio kwa CCM? Siamini
Hofstede
Taratibu huna haja ya kutumia maneno kama hayo, pitia post yako hii hapa chini kwenye red utueleze ulikuwa na maana gani, hiyo kama si kukomaa kwa CCM ni nini, Respect
kama imewachukua miaka zaidi ya 15 kushindwa kuja na msingi wa maandamano yoyote ya maana utaishangaa CCJ ambayo hata usajili wa kudumu haina?
Hapo ndio napo pataka..Hoja yangu ni kuwa mnajimegea kwamba CCJ itafanya yale ambayo vyama vya upinzani vimeshindwa kufanya kwa miaka 15 lakini kumbe hata CCJ yenyewe inapita mule mule tena bora haya ya vyama vingine..To be honest sijaona jipya kabisa,MUNGU anisamehe kama nakosea...Ukiwa nje ni rahisi sana kuona kama wengine hawafanyi kitu wamekaa,tu ndio maana wahenga walisema ukitaka kufaidi uhondo wa ngoma
ni lazima uingie ucheze.Eti siku saba kwa Tendwa vinginevyo mahakamani..yale yale tu ambayo hata vyama vingine tumefanya.Hivi CCJ inadhani Tendwa anaogopa mahakama au kesi?kwanini atakayeshitakiwa na yeye au ofisi yake?naamini Tendwa wala hatabadilisha msimamo wake tena anasubiri kwa hamu hizo siku saba zifike ili muende mahakamani..Steps ni zile zile labda mlichotuzidi ni staili ya kujitambulisha kwa jamii basi zaidi ya hapo,hakuna jipya...
Natumaini wana demokrasia wetu kina GS na Luteni watakuwa tayari na wenyewe wametuma ujumbe huo..
Sorry kwani huu ujumbe unaenda kwa Tendwa au kwa nani?kama ni kwake hivi unafikri atazisoma kweli meseji zetu?au zinaenda kwa nani ili aharakishe usajili huu?Niko tayari kutuma lakini mpaka nipate majibu ya kuridhisha..Hata sms 50 naweza kutuma pia ila mniconvince kwanza!!!
tatizo nikuwa nyinyi mnaikumbatia hiyo sheria wakati mimi siikumbatii wala kuitambua. Ni sheria mbovu na dhamira yangu hainitumi kuipa heshima yoyote. Ni miongoni mwa sheria ambazo CCJ itazifuta the first seven days as I know. Nyinyi Chadema naona mmekubali iwepo na hamjafanya lolote kuipinga zaidi ya kutoa hotuba ya kwanini ni sheria mbovu - jambo ambalo wengine pia wamelifanya.
na vipi kuhusu privacy za watu wanaotuma ujumbe huo kumbukeni namba sasa hivi zimesajiliwa zilizo nyingi msijitafutie mambo mengine wananchi
Binafsi sijaelewa tukituma hizo text kwa Tendwa halafu what is next naje asipozifungua na kuzisoma itakuwa imetusaidia nini, nipe shule kabla sijaamua kutuma coz this in new strategy inawezekana ndiyo mbinu mpya za Ccj unazosema.wewe tuma.. na ndiyo zinakwenda kwa Tendwa... jamani ndiyo ushiriki wa wananchi. Wenzenu hapa kijijini we do this all the time, tena kwa email halafu huwa tunapeleka hadi mabarua kwenye maofisi ya wabunge ili watusikilize... ni kuonesha kuwa wananchi wanajali..
Binafsi sijaelewa tukituma hizo text kwa Tendwa halafu what is next naje asipozifungua na kuzisoma itakuwa imetusaidia nini, nipe shule kabla sijaamua kutuma coz this in new strategy inawezekana ndiyo mbinu mpya za Ccj unazosema.