Tamko la CCJ dhidi ya Kauli za Tendwa juu ya Usajili wa kudumu

Angalizo mzee, inaitwa 'writ of Mandamus' au kwa lugha nyepesi 'Mandamus Order'
Asante Shadow, hii certiorari ni nini?.
Kumbukumbu yangu, kesi ya mwisho kuiomba Mahakama Kuu kuissue 'writ of Mandamus' ni ile ya Bawata iliyosimamiwa na Prof. Shivji, aliiomba tangu 1994 imekuja kutoka mwaka huu after 16 years!. Natumaini CCJ wana wanasheria, watawashauri mapema mahakamani wasiguse. Kabla ya kufungua kesi ya 'writ of Mandamus' lazima uombe kibali cha DPP, aridhie ndipo uende mahakamani, na kesi ikifunguliwa tuu, Tendwa atasimamisha kila kitu kusubiri maamuzi ya mahakama.
 
Asante Shadow, hii certiorari ni nini?.
Kumbukumbu yangu, kesi ya mwisho kuiomba Mahakama Kuu kuissue 'writ of Mandamus' ni ile ya Bawata iliyosimamiwa na Prof. Shivji, aliiomba tangu 1994 imekuja kutoka mwaka huu after 16 years!. Natumaini CCJ wana wanasheria, watawashauri mapema mahakamani wasiguse. Kabla ya kufungua kesi ya 'writ of Mandamus' lazima uombe kibali cha DPP, aridhie ndipo uende mahakamani, na kesi ikifunguliwa tuu, Tendwa atasimamisha kila kitu kusubiri maamuzi ya mahakama.

mkuu atasimamisha nini shughuri za usajiri ama uchanguzi ? Nafikiri hebu tuelezee kidogo tofauti ya Tendwa na Makame.
 
Pasco,
Mkuu maneno yako mazito sana.Tunarudi palepale kuwa WATU na MAZINGIRA ndio somo kubwa ktk suluhisho lolote lile. Hakuna kitu kinachowezekana Tanzania pasipo kupitia Ukiritimba na Urasimu,,Hata ukitaka kuchukua namba ya kulipia kodi unatakiwa kusubiri,kuhonga na kusumbuliwa pasipo sababu kabisa. Na kibaya zaidi usije fikiria ati ukienda kwenye sheria mahakamani upaipata haki yako in time -nyooooo!, na sii ajabu ndio kwenda mahakamaniunaweza kuharibu kabisaaa.

Hii ndio Tanzania yetu, huchukua siku moja kumaliza jukumu au kazi moja. Ofisi za serikali hazina ulazima wa kufanyakazi zao kwa muda maalum. Mwalimu anaweza kuwa na wanafunzi 100 au 20 na asifike darasani, Daktari anaweza tibu mtu mmoja au 10 kwa siku, hakuna utaratibu wala ulazima..Hii ndio fahari ya ajira nchini sio kujituma ila kujivunia. Tendwa mtumishi wa serikali pekee anayetumia mfumo wa kujivunia,nenda TRA, Tanesco, Msajili wa biashara, Ofisi za vibali, Kulipa kodi, Bandari na kwingineko kote habari ndio hiyo hiyo!..
- Fahari ya Mtumishi wa umma ni kujivunia mamlaka ya kazi yake.
 
Shalom, naomba unisome kwa makini in between the lines, mimi ni mimi na Mwanakijiji ni Mwanakijiji, japo nakubaliana nae kwenye mambo ya msingi, natofautiana naye sana kwenye aproach, namuona kama more idealist than realist fighting by strategic fighting technics from a distance wakati mimi ni realist niko kwenye battle field on the war zone.

Kuhusu CCJ, hebu tembelea ile thread ya https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/61539-ccj-kuanza-charm-offensive-ask-your-questions.html uone jinsi nimetofautiana na Mwanakijiji.

Mkuu Pasco,

Hapa tupo pamoja sana
 
Boramaisha

Unataka kuniambia ubora wa michango wangu hadi nisapoti unachokitaka au hadi nisapoti Ccj, hapana ndugu yangu mimi huwa si wa aina hiyo huwa sifuati upepo nasticky kwa ninachokiamini, leo kuna Ccj kesho mtu atakuja na Cck unataka tena nianze kuamini hiyo CCk? Binafsi siamini ujio wa Ccj kwa kipindi hiki cha lala salama kinachofanyika ni mazingaombwe tu, tatizo liko kwa CCM wanakijengea Ccj publicity ya bure kwa kukicheleweshea usajili pindi kitakapopewa hutasikia cha Ccj wala nini.

Mkuu, sijasema ushabikie CCJ ninachosema ni kwamba michango yako mingine inatufanya wengine tudhani kwamba wewe ni 'wakusoma' pale Mlimani.
 
Naombeni msaada wa kuelimishwa kwenye hili..Hivi Serikali inaweza kukopa pesa toka kwa mtu binafsi au kutoka kwenye chama cha Siasa mbali na taasisi za fedha? Maana kama ni hivyo mi nataka niikopeshe fedha ili kupanua hospitali mama zetu waache kuzalia chini! Nafkili hayo ni matumizi mazuri ya fedha kuliko usajili wa CCJ.

Mkuu baada ya usajili wa CCJ ungeongeza na Uchaguzi mkuu wa October kama utakuwepo,
 
GS ninavyofahamu maneno anayoongea Msekwa, ambaye ni makamu mwenyekiti wa CCM na spika mstaafu, hayawezi kuwa na uzito sawa na unayoongea wewe humu ndani ya JF. Msekwa na Chiligati ni viongozi wa juu sana wa chama tawala na wanachosema wao kinachukuliwa kama ni maagizo na watendaji wa serikali akiwemo Tendwa na mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi.

Nakubaliana na wewe lakini hiyo haimanishi kuwa ndio kuhujumu chama chao..Kila mtu ana haki ya kuzungumza anavyojisikia ilimradi asivunje Katiba au sheria,period!
 
Mkuu baada ya usajili wa CCJ ungeongeza na Uchaguzi mkuu wa October kama utakuwepo,
Mkuu Hofstede,
Vipi kuhusu utaratibu wa kuikopesha serikali halafu kudai riba ? Unafahamu lolote kuhusu hili maana mi nimeipenda biashara hii..!?
 
Back
Top Bottom