TAMKO: Baraza la Maaskofu Katoliki walaani mauaji Kibiti na shambulio kwa Tundu Lissu

TAMKO: Baraza la Maaskofu Katoliki walaani mauaji Kibiti na shambulio kwa Tundu Lissu

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,916
6E46CDA2-C765-45B2-AC3F-88887C4FEA0A.jpeg
 
mpaka gwajima awakumbushe.aibu yao hiyoo

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
Mkuu gwajima ni mtu moja lazima atoe tamko kwa haraka, kama ni TEC lazima wakae wote au Rais wao atoe tamko kwa niaba. Labda ungelaumu askofu moja moja. Halafu Gwajima katoa tamko jana na hawa nao wametoa tamko hiyo jana hebu soma vzr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Pengo alikuwepo? Na mkiambiwa yuko nyuma yake mteule wenu kipenzi chenu muumini wenu mtakatifu JPM mtasemaje?

Pengo anaingiaje hapo?, Pengo sio mkuu wa Ukatoliki Tanzania, yeye Ni askofu wa Dar es Salaam tu, hana mamlaka ya kiuongozi kwenye Jimbo lolote la Kikatoliki lililo nje ya Dar

Naunga mkono kuwa Hii note imechelewa sana
 
Back
Top Bottom