TAMISEMI: Wazidi kuwadanganya walimu wapya

TAMISEMI: Wazidi kuwadanganya walimu wapya

Kiukweli nmepata kuyaona majina ya degree tu,na sijui hasa yamevuja au la?
 
Wanaostahili ajira wamepata. Kama wewe unaona hujapata subir second selection. Au kasome maana huwez ajiriwa na stashahada yako wakat kuna watu na shahada zao wapo home. Kasome nawe upate shahada uje uajiriwe
 
Iache serikali itudanganye maana ni mda wao kutudanganya lakni wajue na wao mda si mda watadanganywa tena wanaona lakni bado wanadanganywa Ziro ndo zitawafundisha labda waweke division 6:::

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hawa wanaosema majina yametoka yako wapi xaxa? Acha zenyu bana, majina yanatolewa kesho j2 before saa7 mchana.
 
Back
Top Bottom