kimeta cha ufisadi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 398
- 70
Wiki iliyo isha jana katibu mkuu wa TAMISEMI alitoa taarifa kuwa siku ya leo tar, 15 wangetangaza kwenye website yao majina ya walimu wapya pamoja na wilaya zao za kufanyia kazi, chakushangaza hadi muda huu kimya sasa sijui ofisi ya TAMISEMI bado ipo wazi au laah. Japo kuwa hii ni dharau kwa walimu kwanini wazungumze pasipo kuwa na uhakika? Hawa TAMISEMI wamekuwa na mzigo mkubwa wa watendaji wa umma ingependeza walimu wangewajibika wizara yao hiyo hiyo wa ELIMU