FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,516
- 46,604
Rekebisha heading isomeke ' Watumwa wote pitieni hapa'
SlaveryHata ukihama bado kila kona ya nchi ni pamoto wangeongeza mshahara kwanza mambo mengine yafaate.
Sio watumwa. Wenzio wanatibiwa kwa bima wao na familia zao. Mikopo nje nje muda wowote. Wakistaafu mamilioni ya hela kwaajili yaoRekebisha heading isomeke ' Watumwa wote pitieni hapa'
1.)Bima: huitaji utumwa kupata hii. 2.)Mikopo: huitaji utumwa kuipata. 3.) 3.)Mafao: huitaji utumwa kuyapata. They are incentives to lure slaves.Sio watumwa. Wenzio wanatibiwa kwa bima wao na familia zao. Mikopo nje nje muda wowote. Wakistaafu mamilioni ya hela kwaajili yao
mjinga sana wewe kengeRekebisha heading isomeke ' Watumwa wote pitieni hapa'