Anaongelea mambo ya matusi na kupakana matope kwenye kampeni,msikilizeni ana hoja za msingi
ye mwenyewe mtukanaji!
Anaongelea mambo ya matusi na kupakana matope kwenye kampeni,msikilizeni ana hoja za msingi
Anaongelea mambo ya matusi na kupakana matope kwenye kampeni,msikilizeni ana hoja za msingi
Tambwe Hiza msambaa hana adabu yule, samahani wasambaa kwani naongelea baadhi ya wasambaa wanaorubuniwa na chama tawala wakasahau maslahi ya wasambaa wenzao.
Tukimuuliza huyo Tambwe pale kwao Mazinde CCM imefanya nini toka miaka hiooooo na mpaka leo hii hata maji bomba yenye uhakika hawana wakati Mazinde iko bondeni na maji yote kutoka milima ya Usambara yanapitia Mazinde.
Mvua zikinyesha Mazinde hawana maji masafi bali kunywa matope.
Wakati wa jua wananchi wamekua kama ngamia.
Msambaa mwingine anaitwa Makamba
Ukiuliza huko anakotoka amefanya nini hatakupa jibu.
Kinachoonekana ni binti yake kununua jumba la kifahari kwa pesa za ufisadi.
Kiukweli msambaa aliyekua na akili nakujali wasambaa alikua Shekilango lakini hawa wasasa ni vibaraka wa mafisadi.
Samahani kama nimewakwaza baadhi ya wasambaa ambao sio vibaraka wa mafisadi.