Sasa unataka afake? Hivyo alivyouliza ndivyo anavyopenda.Si kwamba anatafuta kulelewa. We utaendaje na demu shopping mall then badala ya kuhangaika na kuuliza bei za vitu vya maana anahangaika na ice cream, bisi (kwenu Masaki mnaitaga popcorn) na midoli? What the hell is she?
My dia upo hivo????We unatafuta kulelewa sio bure.
suala ku fake maisha. Ni kufikiri nje ya boksi for futureSasa unataka afake? Hivyo alivyouliza ndivyo anavyopenda.
Hapana.My dia upo hivo????
Una uzoefu enhee wa kuwa zilipendwa?Saa nyingine mbali na yote bahati pia ina nafasi yake. Wapo wanaojitahidi hata zaidi ya hivyo ila mwisho wa siku wanaambulia kuwa zilipendwa.
Haha. Nina uzoefu wa kuona waliokuwa zilipendwa.Una uzoefu enhee wa kuwa zilipendwa?
Kama sjaelewa hvi sjui swaumu imekaza umesemaje?Haha. Nina uzoefu wa kuona waliokuwa zilipendwa.
Basi na hicho tunaomba mkiweke kwenye listi ya vigezo vyenu watu tujue hata ukiwa na tabia nzuri vipi kama mbunye sio unaachwa. Msikazanie tabia tuuuwanakuwa na mbunye mbaya, ujue haijafiti vizuri. kama mbuye iko fresh, mtu ana adabu, mzuri, msafi, anaonyesha upendo usio wa kinafiki kwanini usiolewe? ila kama mchafu, ushachezewa sanaaa kama wewe ulivyo, mashine imeshalegea kama bablish, nani anataka mzigo huo? ujana ulikuwa na nani, nani ale makapi? katafute makapi wenzio huko.
Yaani sina uzoefu wa ulichosema ila huwa ni wengi ambao huwa nawaona waliokuwa wakiwafanyia wanaume zaidi ya vyote hivyo na wakaachwa.Kama sjaelewa hvi sjui swaumu imekaza umesemaje?