Wewe siyo Fasouls ila ni Fool! Utapeli wa kitoto hivyo utaukubalije? Huo wanafanyiwa huko huko kijijini kwenu!
Hiyo staili mwisho Namtumbo sio Bongo wewe .....
Usidharau mkuu wanakuja na ndumba,labda kama uko vizuri, ukijibu anachokisema tu,utakubali kila wanalosema
Wenye tamaa siku zote ndo wanaotapeliwa na sio washamba.
Wenye tamaa siku zote ndo wanaotapeliwa na sio washamba.
Like kwenye wizi wa zama za mawe?? Hata taahira hawezi tapeliwa kwa ukenge wa namna hii.