You nailed it. tamaa ya fedha za haraka haraka. Halafu sasa eti huyo mtu anasema kabisa kaziiba hizo hela kwa wasomali na wewe upo tu??!!Wenye tamaa siku zote ndo wanaotapeliwa na sio washamba.
Sasa huu utakuwa uchawi sio utapeli. Au labda tuuite uchapeli.Usidharau mkuu wanakuja na ndumba,labda kama uko vizuri, ukijibu anachokisema tu,utakubali kila wanalosema