Tambo za waziri Muhongo

Muhongo yuko sawa, mbona wengine hujidai kuwa mbunge mmoja wa cdm ni sawa na wabunge hamsini wa ccm sasa leo majibu mmepewa mkitaka mmeze au mteme, akili ya muhongo ni sawa na uwezo mzima wa chama cha cdm na wapambe wao.
Ccm hamna watu huko.....
 
umeanza matusi kama wewe si mtani wao. Sasa wewe hicho ulichoandika hapa ni nini kama siyo kujisifu kuwa kabila lako ni bora kuliko Wajita na Wahaya? unawasema wenzio wakati wewe ndo zaidi !!!Kweli nyani haoni kundure
 
Mkuu. Nichangie au nijibu hoja zako takriban tatu au nne bila kuingiza siasa au vyama vya siasa kama ifuatavyo:
1. Si kazi ya serikali kukuza mitaji ya wananchi,mitaji inakuzwa na taasisi mbalimbali katika sekta binafsi na za uma mfano mabenki nk. Kazi ya serikali ni kuweka sheria na ku regulate shughuri zao.
2. Si kazi ya serikali kushawishi wafanyabiashara waungane. Wenyewe wanatakiwa wajitambue,wawe wamoja na wasipigane majungu.
3. Kuhusu serikali kuanzisha shirika/kampuni kisha iuze shea,ndicho serikali inachofanya,tayari TPDC inasimamia gas na utafutaji mafuta,na soon itauza share ,na ndio maana mnaambiwa nendeni TPDC mkaeleweshwe,hamtaki mnabaki kupiga majungu mtaani. Mwisho umesema kiongozi mzuri ni yule anayezungumza machache na kutenda mengi,sawa,sasa mbona hayo machache anayozungumza Prof .Mhongo hamyasikilizi,mnampiga majungu tu ili aache kazi zake awe kila siku anajibu majungu ili atoke kwenye mstari? Nawachukia baadhi ya viongozi wa CCM wasio wachapakazi na mafisadi. Lakini Prof. at least naona afanyacho.
 
Inaelekea huyu jamaa ametokea familia ya kimasikini sana, ndo mana alivyopata hii chance ndo tumeanza kujua tabia yake.

Mkuu Wajita ndivyo walivyo! Una bahati kama hujawahi kufanya kazi na Mjita, tena omba kabisa usifanye naye kazi! Umaskini wao ndo unawafanya wawe hivyo!
 

Acha ukabila tabia ya mtu ni ya kwake Binafsi :coffee:
 
Mkuu Wajita ndivyo walivyo! Una bahati kama hujawahi kufanya kazi na Mjita, tena omba kabisa usifanye naye kazi! Umaskini wao ndo unawafanya wawe hivyo!


Tatizo Mtu akiongea Ukweli Nchi hii anaanza kuchambuliwa , Mnapenda kudanganywa sana
 
Inaelekea huyu jamaa ametokea familia ya kimasikini sana, ndo mana alivyopata hii chance ndo tumeanza kujua tabia yake.

Hili tatizo hata Nyerere alikuwa nalo, ndo maana akatulete vijiji vya ujamaa na kujiregemea, akidhani kwamba utawatoa umaskini watanzania, kumbe ndo imekuwa the opposite.
 
Hon. Prof. Muhongo might have got high marks in his academic career. He ought however to have learnt that great men are humble and, above all, always attempt to cultivate the respect and appreciation of ordinary folk who are the majority of this world. Extravagant, bombastic bravados and unmitigated outbursts like those of Muhongo in the Bunge recently, show lack of proper education.
 
Mkuu. Sizungumzi majungu hapa. Ama wewe umeniisoma vibaya? Kaul ya wazir wako inakatisha tamaa, inaleta Ubaguz, dharau na kibur cha kijinga. Huwez kuwa kiongoz ikiwa utakuwa mshabik wa matabaka, ikiwa anajiona bora basi awekeze yeye, kwan aliposema watanzania hawawez kuwekeza kwenye gas, yeye aljiinclude? Ama exclude?

Hata maadil ya Uongoz hayako hvyo. Yeye ndiiie alitakiwa awasaidie watanzania, ki ushauri, ama kitaaluma ile nao waweze kuwekeza kwenye huo Mrad wa Uchimbaj wa Gas.

Yeye aliitakiiwa aseme watanzania Tunaweza, tudhubutu.

Aache dharau bhana. Nasaf yake sio kutudharau. Kwan walioweza walizaliwa wanaweza?
 
Bahati mbaya katika wizara za serikali yake ni kati ya wizara zinazoongoza kwa kuitia umaskini nchi hii kwa kusamehe ushuru na kodi. Pia ni wizara hiyo hiyo inayoongoza kwa kuwa na mikataba ya ovyo isiyo na tija na wananchi.

Mandla jr,nadhani na wewe unakuwa kwenye kundi la mambumbumbu aliowaita mh Muhongo yaani (M power four plus four is equal to four)yaani waziri wa nishati na madini ndie anaesamehe kodi.Sheria za kodi na ushuru hutungwa na bunge akiwemo mbunge wako.waziri kazi yake ni kuhakikisha sheria zilizotungwa na bunge anazisimamia kikamilifu kama anavyofanya Mh.Professor Muhongo msomi aliyetukuka.big up professor,big up CCM
 
Vipi wewe ni kati ya wale wanaowekeza kwenye Juice na Nyanya nn?
 
Kawashika pabaya tehteh thread haziishi kuhusu jenerali Muhongo
 
mwaka jana alisema kuna wabunge wamepewa rushwa alivyoitwa kwenye kamati kupeleka ushahidi ikaoneka si kweli huyu mtu ni muongo tu na kujisifu ujinga
 

dah kweli umenena,,bugando mkuregenzi mjita kaajili manesi wengi wajita,,huku mtaani wote wanajiita madaktari
 
muhongo ni mwanasiasa tapeli kama walivyo wanaccm wenzake wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…