Ni yule msanii anayejiita mkuu wa mkoa, asiye na kazi ya kufanya bali kupumbaza watu kwa kuwarushia vipande vya nyama? Kazi kweli kweli. Watu wengine hawana huruma kabisa. Unakusanya maskini ambao wamefanywa maskini na serikali mbovu, unatupia minofu kama mbwa na kuwaambia waabudu jina la mama bila kujali umaskini wao?