Tamaa mbaya sana

Tamaa mbaya sana

Sio poa 👎

giphy.gif
 
Nacholalamika anawanyonya wabebaji kwa mimi hanibani maana mimi karani nalipwa na mchina direct haipitii kwake ila kwa makuli wao ndo inapita kwenye mikono yake
 
Nacholalamika anawanyonya wabebaji kwa mimi hanibani maana mimi karani nalipwa na mchina direct haipitii kwake ila kwa makuli wao ndo inapita kwenye mikono yake
100K inaipiga

Hii nchi karibu kila mtu ni mwizi.

Sijui tumejifunzia wapi huu wizi.
 
Natumaini tuko poa wabongo tuache roho mbaya nipo godown la mbaazi kama karani kwa wachina

Unakuta mchina analipa kila gari kushusha mzigo 150k mbongo mwenzako kisa yeye salange anawalipa wenzake kila gari 50k inaumiza sana
Umehakikisha taarifa zako au ni udaku tu?

Kuna watu wanasambaza taarifa ba kuzikuza mahali pa kazi. Usipokuwa makini unaweza kuacha kazi hivi hivi.
 
Natumaini tuko poa wabongo tuache roho mbaya nipo godown la mbaazi kama karani kwa wachina

Unakuta mchina analipa kila gari kushusha mzigo 150k mbongo mwenzako kisa yeye salange anawalipa wenzake kila gari 50k inaumiza sana
Ndio maana madalali wanakuwa na vitambi kama mkuki
 
Habarii, nina mbaazi lakin sijui soko nalipataje kama hutajar nikuombe unielekeze, asantee
 
Ukiskia marupurupu ya kazi ndiyo hayo sasa
 
Back
Top Bottom