Tamaa mbaya baba mchungaji

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,149
Reaction score
43,097
Binti mmoja... alienda kupeleka malalamiko kwa MCHUNGAJI.

BINTI:-Kuna kijana ambaye sitamsahau kwa aliyonifanyia

MCHUNGAJI:-Alikufanya hivi? (akamshika chuchu)

BINTI:-Hapana

MCHUNGAJI:-Au alikufanya hivi (akaanza kumla denda)

BINTI:-Zaidi ya hivyo

MCHUNGAJI:-Au hivi (akamvua sketi)

BINTI:-Inaelekea na hivyo

MCHUNGAJI:-Aaaah!! Kumbe hivi (akaanza kuvunja amri ya sita.)

BINTI:-Ooooh..........ooøoooh..........mmmmh..........aaaaah,sii............iih!!? Hivyo hivyo..........
.yaani mpaka akaniambukiza UKIMWI

MCHUNGAJI:-WHAAAT!!!?????
 

Dah? Angesubiria story iishe bana yeye akajifanya kutangulia kabla ya story kushney!
 
Hatari aisee, lakini haya yaweza kuwa maongezi kati ya mwalimu na mwanfunzi wake, be carefull
 
Dah? Angesubiria story iishe bana yeye akajifanya kutangulia kabla ya story kushney!

si unajua tamaa mbaya halafu yawezekana toto lilikua linalipa?
 


usiwaneneee mabaya watumishi wa MUNGU, utakuja kupigwa vibaya sana. Namuomba MUNGU BABA wa mbinguni akusamehe..!!
 
usiwaneneee mabaya watumishi wa MUNGU, utakuja kupigwa vibaya sana. Namuomba MUNGU BABA wa mbinguni akusamehe..!!
Kwani haya hayafanywi na hao wachungaji? Acha kutisha watu
 
Baadhi ya wachungaji ni wanafiki sana!! Hiyo ndo dawa yao!! Na wengine wana UKIMWI tunawafahamu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…