Talgwu-chunya

RubenM

Senior Member
Apr 15, 2009
131
10
MFANYAKAZI(NURSE MIDWIFE ANAYESTAAFU AKIWA NA MSHAHARA ALIOANZIA KAZI) Hivi unaweza kutaja nini kiashirio cha uwepo wa TALGWU katika halmashauri fulani? nikimaanisha uwepo wa chochote kwa kuona au hata kuambiwa. Hainishawishi sana kama hakuna hata mmoja kati ya wafanyakazi wa halmashauri 100 ambaye hata hajui misingi na uendeshaji wa chama hiki cha wafanyakazi wa halmashauri katika serikali za mitaa,mfano katika wilaya ya chunya.:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
HUYU MTU (NURSE MIDWIFE) NI MFANO,HAJAPATA MSAADA WA CHAMA HIKI NA HAJUI KAMA KINAWEZA KUMSAIDIA.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom