luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
- Thread starter
- #121
Sasa majumba Yale yamejengwa na mbuzi?Kilimanjaro hata watu wa huku wenyewe wanakimbia kila siku.
Kuishi huku labda uwe MLEVI kupunguza mawazo, hapafai.
Sasa majumba Yale yamejengwa na mbuzi?Kilimanjaro hata watu wa huku wenyewe wanakimbia kila siku.
Kuishi huku labda uwe MLEVI kupunguza mawazo, hapafai.
Na wengi wao utakuta wanaishi maisha ya kuhunga unga tuHuko bara ndo wapi? Mbona watu wa jiji la vichaa na mafuriko mnapenda kujikweza sana?
Huko uchagani majumba ni Zaid ya MasakiUko sahihi kabisa
Hongereni "Wachaga"Wakuu habari za Siku nyingi,
Kama Mada inavyosomeka, hivi karibuni shirika la takwimu la Taifa (NBS) katika uchambuzi wake wa hali ya uchumi nchini, limeutaja mkoa wa dar kuwa wa Kwanza kitaifa kwa kuchangia pato la Taifa huku Pia wakazi wake wakiwa na maisha bora kwa 92%.
Mkoa wa Kilimanjaro umeendelea kuwa kinara wa wananchi wake kuishi maisha bora kwa 90% huku mkoa huo ukiwa wa 8 kuchangia pato lá Taifa.
Mkoa wa mwanza licha ya kuwa mkoa wa pili kuchangia Pato kubwa,lakini ni miongoni mwa mikoa maskini.
Mkoa wa kagera umedorora mno mwaka huu katika pato lá Taifa kwani haumo katika orodha ya mikoa 10 inayochangia Pato kubwa.
Nawasilisha
View attachment 1982368View attachment 1982369
View attachment 1982366