Takwimu za NBS 2021- Kilimanjaro yaendelea kuwa kinara maisha bora, Dar kinara pato kubwa la Taifa

Yaani bila kuitaja Mwanza usingizi hupati. In short nimezunguka kote hako kamkoa kenu sijui mnakaita ka Kilimanjaro. Ni maeneo
machache sana yenye maisha bora.
Nimeenda Machame mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Nikaenda Huko kwa wapare Gonja, Ndungu hadi Gonja Mawole hadi Kivukoni yaani shida tupu na njaa kali, migomba hoi, barabara za upareni huko milimani ni majanga. Ukarimu sifuri. Kwa ujumla wenyeji wa Kilimanjaro walioamua kuondokana kwenda kuishi mikoa iliyobarikiwa kama Sukumaland na Kagera walichukua uamuzi wa maana sana. Kilimanjaro ibaki tu kama makaburini lakini kwa kuishi hakuna tofauti na Jehanum !
miss pablo unahabari kuwa instanbul hajatia mguu hapa tangu huu Uzi uandikwe?
 
Yaani bila kuitaja Mwanza usingizi hupati. In short nimezunguka kote hako kamkoa kenu sijui mnakaita ka Kilimanjaro. Ni maeneo
machache sana yenye maisha bora.
Nimeenda Machame mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Nikaenda Huko kwa wapare Gonja, Ndungu hadi Gonja Mawole hadi Kivukoni yaani shida tupu na njaa kali, migomba hoi, barabara za upareni huko milimani ni majanga. Ukarimu sifuri. Kwa ujumla wenyeji wa Kilimanjaro walioamua kuondokana kwenda kuishi mikoa iliyobarikiwa kama Sukumaland na Kagera walichukua uamuzi wa maana sana. Kilimanjaro ibaki tu kama makaburini lakini kwa kuishi hakuna tofauti na Jehanum !
Pole kwa kujifariji kwahyo wewe una akili kuzidi watafiti? KILIMANJARO hasa uchagani umewahi ona nyumba ya nyasi hata moja tu? Huko ulikotembelea umeshindwa kupiga picha hata moja tu ili kudhibitisha? Anyway KILIMANJARO ni mkoa wa 8 kuchangia Pato la taifa,na ni mkoa wa pili watu wake kuishi maisha bora(kuwa na kipato kikubwa) hii ni kwa mujibu wa nbs,wewe mkoa wako mwanza ni wa 2 kuchangia pato lakini ni wa tano kwa umaskini (mwananchi mmoja mmoja ktk nyanja za makazi,kipato nk)View attachment 2015195
JamiiForums-1412127600.jpg
 
Yaani bila kuitaja Mwanza usingizi hupati. In short nimezunguka kote hako kamkoa kenu sijui mnakaita ka Kilimanjaro. Ni maeneo
machache sana yenye maisha bora.
Nimeenda Machame mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Nikaenda Huko kwa wapare Gonja, Ndungu hadi Gonja Mawole hadi Kivukoni yaani shida tupu na njaa kali, migomba hoi, barabara za upareni huko milimani ni majanga. Ukarimu sifuri. Kwa ujumla wenyeji wa Kilimanjaro walioamua kuondokana kwenda kuishi mikoa iliyobarikiwa kama Sukumaland na Kagera walichukua uamuzi wa maana sana. Kilimanjaro ibaki tu kama makaburini lakini kwa kuishi hakuna tofauti na Jehanum !
Pole kwa kujifariji kwahyo wewe una akili kuzidi watafiti? KILIMANJARO hasa uchagani umewahi ona nyumba ya nyasi hata moja tu? Huko ulikotembelea umeshindwa kupiga picha hata moja tu ili kudhibitisha? Anyway KILIMANJARO ni mkoa wa 8 kuchangia Pato la taifa,na ni mkoa wa pili watu wake kuishi maisha bora(kuwa na kipato kikubwa) hii ni kwa mujibu wa nbs,wewe mkoa wako mwanza ni wa 2 kuchangia pato lakini ni wa tano kwa umaskini (mwananchi mmoja mmoja ktk nyanja za makazi,kipato nk)View attachment 2015195View attachment 2015196
 
Yaani bila kuitaja Mwanza usingizi hupati. In short nimezunguka kote hako kamkoa kenu sijui mnakaita ka Kilimanjaro. Ni maeneo
machache sana yenye maisha bora.
Nimeenda Machame mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Nikaenda Huko kwa wapare Gonja, Ndungu hadi Gonja Mawole hadi Kivukoni yaani shida tupu na njaa kali, migomba hoi, barabara za upareni huko milimani ni majanga. Ukarimu sifuri. Kwa ujumla wenyeji wa Kilimanjaro walioamua kuondokana kwenda kuishi mikoa iliyobarikiwa kama Sukumaland na Kagera walichukua uamuzi wa maana sana. Kilimanjaro ibaki tu kama makaburini lakini kwa kuishi hakuna tofauti na Jehanum !
Mzee wangu pumzika

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Pole kwa kujifariji kwahyo wewe una akili kuzidi watafiti? KILIMANJARO hasa uchagani umewahi ona nyumba ya nyasi hata moja tu? Huko ulikotembelea umeshindwa kupiga picha hata moja tu ili kudhibitisha? Anyway KILIMANJARO ni mkoa wa 8 kuchangia Pato la taifa,na ni mkoa wa pili watu wake kuishi maisha bora(kuwa na kipato kikubwa) hii ni kwa mujibu wa nbs,wewe mkoa wako mwanza ni wa 2 kuchangia pato lakini ni wa tano kwa umaskini (mwananchi mmoja mmoja ktk nyanja za makazi,kipato nk)View attachment 2015195View attachment 2015196
Kiukweli kabisa from my inner heart, Kilimanjaro hapafai kuishi. Unakuta mtu anamiliki robo eka ya mchaichai eti naye anajiita tajiri ! Wakati sisi huku usukumani watu wanamiliki hadi eka hamasini za ardhi na wala hakuna kujikweza. Aidha, ukungu na umande ulioko huko vijiji vya mlimani Mkoani Kilimanjaro panawafaa kuishi nyani tu mwanadamu hapana. Hata hivyo nawapongeza sana rafiki zangu wachagga kwa kuondoka huko na kwenda kuishi mikoa mitamu kama Ile iliyoko Sukumaland na kuiacha Kilimanjaro iwe sehemu ya kuzikia tu wafu wao. Poleni sana nafasi zipo usukumani karibuni sana ndugu zetu maana sisi hatuna ukabila wala ubaguzi hata ubunge ukikaa vizuri mchagga unapewa tu kama tulivyompa Kiwia wakati ule pale Ilemela. Karibuni sana ndugu zetu wenye meno yenye kutu kama kashata.
 
Kiukweli kabisa from my inner heart, Kilimanjaro hapafai kuishi. Unakuta mtu anamiliki robo eka ya mchaichai eti naye anajiita tajiri ! Wakati sisi huku usukumani watu wanamiliki hadi eka hamasini za ardhi na wala hakuna kujikweza. Aidha, ukungu na umande ulioko huko vijiji vya mlimani Mkoani Kilimanjaro panawafaa kuishi nyani tu mwanadamu hapana. Hata hivyo nawapongeza sana rafiki zangu wachagga kwa kuondoka huko na kwenda kuishi mikoa mitamu kama Ile iliyoko Sukumaland na kuiacha Kilimanjaro iwe sehemu ya kuzikia tu wafu wao. Poleni sana nafasi zipo usukumani karibuni sana ndugu zetu maana sisi hatuna ukabila wala ubaguzi hata ubunge ukikaa vizuri mchagga unapewa tu kama tulivyompa Kiwia wakati ule pale Ilemela. Karibuni sana ndugu zetu wenye meno yenye kutu kama kashata.
Sasa kama mna ardhi kubwa nk mbona mnashindwa hata kujenga nyumba za bati? Mbona mkoa wenu ni wa pili kwa umaskini? Uchagani umewahi ona nyumba ya nyasi hata moja?
Utajiri sio kumiliki ardhi,utajiri ni kumiliki asset anuai sio lazma iwe ardhi,Kama kigezo Cha utajiri no ardhi mbona nyie wenye ardhi ndio mnaongoza kwa umaskini ?
 
Hiyo ni historia. Sasa hivi nyumba za bati zinajengwa kwa kasi Sukumaland. Sisi wajanja kuliko nyie wakati ninyi mnajenga huko uswekeni milimani sisi tunajenga na kuanzisha miji mipya mingi tu ya biashara ! Angalia Katoro, Lamadi, Masumbwe, Lunzewe, Nyarugusu, Mganza,Tinde, Mhangu, Ngoma n.k. . Kumbuka Mwanza ni ya pili kwa Dar kwa ukusanyaji wa mapato nchini. Na kwenye kumi bora katika ukusanyaji wa mapato Sukumaland imeingiza mikoa mitatu ( Mwanza, Shinyanga na Geita) ndio maana ninakasema mikoa hii ni mitamu kama asali .
Sasa kama mna ardhi kubwa nk mbona mnashindwa hata kujenga nyumba za bati? Mbona mkoa wenu ni wa pili kwa umaskini? Uchagani umewahi ona nyumba ya nyasi hata moja?
Utajiri sio kumiliki ardhi,utajiri ni kumiliki asset anuai sio lazma iwe ardhi,Kama kigezo Cha utajiri no ardhi mbona nyie wenye ardhi ndio mnaongoza kwa umaskini ?
 
Naona korabo ya mchaga na muha imekolea sijui imeanza lini, but hapa ukiangalia kwa umakini ishu sio kuisema Kilimanjaro bali ni mchagga anatafuta namna ya kujilinganisha na Mhaya
 
Yaani bila kuitaja Mwanza usingizi hupati. In short nimezunguka kote hako kamkoa kenu sijui mnakaita ka Kilimanjaro. Ni maeneo
machache sana yenye maisha bora.
Nimeenda Machame mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Nikaenda Huko kwa wapare Gonja, Ndungu hadi Gonja Mawole hadi Kivukoni yaani shida tupu na njaa kali, migomba hoi, barabara za upareni huko milimani ni majanga. Ukarimu sifuri. Kwa ujumla wenyeji wa Kilimanjaro walioamua kuondokana kwenda kuishi mikoa iliyobarikiwa kama Sukumaland na Kagera walichukua uamuzi wa maana sana. Kilimanjaro ibaki tu kama makaburini lakini kwa kuishi hakuna tofauti na Jehanum !
Kilimanjaro hata watu wa huku wenyewe wanakimbia kila siku.

Kuishi huku labda uwe MLEVI kupunguza mawazo, hapafai.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom