asha ngedere
Member
- Nov 6, 2009
- 92
- 11
Habari wakuu. Natambua watanzania wengi wanaumia kutokana na kukosa huduma za afya kufuatia mgomo wa madaktari. Tunahitaji kujikumbusha, na ninaomba msaada wenu kwa faida ya walalahoi wenzangu/wenzetu, mwenye kumbukumbu nzuri hivi tangu mwaka 1995 mpaka 2012 kumekuwepo na migomo mingapi? - Ya wafanyakazi wote; Madaktari pekee; Wanafunzi wa vyuo vikuu, msingi na sekondari; Wenye mabasi ya kwenda mikoani; wenye daladala; na kadhalika. Tafadhalini wadau.rgds