DINHO
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 886
- 1,750
Hiyo mzee alibebwa na mafundi???Mayele akienda simba na Phiri kwenda yanga, Phiri ataibuka kidedea tu na Mayele atafuatia.
Mayele anabebwa na mafundi hatari huko but Phiri mara nyingi anajihangaikia mwenyewe tu.