Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,863
- 50,063
HaijalishiKUmbuka kpnd kagere anagunga goli 23 ,ligi ilikua na timu 20,
HaijalishiKUmbuka kpnd kagere anagunga goli 23 ,ligi ilikua na timu 20,
Sio point.....KUmbuka kpnd kagere anagunga goli 23 ,ligi ilikua na timu 20,
Kinachomfanya asicheze ni nini na kaishapona,Phiri ni mkali tukitumia takwimu, ligi kacheza mechi chache ana goli 10 mayele kacheza mechi nyingi goli 16
Usingekosea ....hata ungemfananisha mayele na HallandSio point.....
Unajua Haaland mpaka muda huu ana goli ngapi pale EPL?????Haaland kacheza game 36 akianza game 32 peekee na ana goli 36 na assist 7.
je,timu zimeongezwa kufikia 40 kwenye ligi pale england?
Na hao washambuliaji wengine walivyokuwa wanafunga goli 18-22 ligi ilikuwa na timu ngapi? Si hizo hizo ???
Jibu ni UWEZO TU na si kingine,
Zaka zakazi alisema huyu ni mediocre player mkambishia
NOTE: USIJE SEMA NAMFANANISHA NA HAALAND HUO NI MFANO TU
Hilo swali wanaweza kujibu viongozi wa Simba na benchi la ufundi Mimi kama shabiki sielewiKinachomfanya asicheze ni nini na kaishapona,
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Takwimu wanaangalia idadi ya mechi au dakika alizocheza mchezaji na magoli aliyofunga mfano Baleke kacheza mechi 8 kafunga goli 8 ukienda kwenye takwimu ana wastani wa goli Moja Kila mechi ila ukienda kwa ufungaji Bora wanaangalia idadi ya magoli aliyofunga bila kujali amecheza mechi ngapiTakwimu ni endelevu mkuu
OkTakwimu wanaangalia idadi ya mechi au dakika alizocheza mchezaji na magoli aliyofunga mfano Baleke kacheza mechi 8 kafunga goli 8 ukienda kwenye takwimu ana wastani wa goli Moja Kila mechi ila ukienda kwa ufungaji Bora wanaangalia idadi ya magoli aliyofunga bila kujali amecheza mechi ngapi