Takwimu na Masoud Kipanya

View attachment 2167851

Kwa maana hii mtalii akienda Kilimanjaro, Mikumi nk wanahesabika ni zaidi ya mtalii mmoja.
Kwa mtazamo wangu it's ok ili kupata namba sahihi ya watalii wa sehemu usika ila inapokua n majumuisho ya jumla watalii waliokuja kwa mwaka wale wanaojirudia huwa hawaesabiwi zaidi ya mara moja, mfano mtalii katoka klm kaenda ngorongoro alafu akaondokea zanzibar huyo ataongeza idadi katika kila kituo alichotembelea ila kwa ujumla anachukuliwa mara moja kwenye kuesabu.
 
kama kwa ujumla anahesabiwa mara moja hapo ni sawa, maana tunaweza sema kwa mwaka wameingia watalii laki nane Tanzania bara kumbe wengine namba zimejirudia.
 
kama kwa ujumla anahesabiwa mara moja hapo ni sawa, maana tunaweza sema kwa mwaka wameingia watalii laki nane Tanzania bara kumbe wengine namba zimejirudia.
Tatizo sisi wabongo ujuaji mwingi hawawezi kuchukua hesabu ambazo sio maana kuna mengi kama kuandaa bajet kwa ajili ya kuendeleza mradi n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…