Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Mwaka huu tunaingia tena kwenye uchaguzi, jee yaliyotokea mwaka 2005 yatatokea tena mwaka huu??
Lengo la TAKWIMU hizi ni kuonyesha ni kwa kiasi gani kwa kila mkoa kati ya watu mia ni wangapi walikipigia chama gani kura kwa nafasi ya urais. Kwa mfano kati ya watu mia (100) kwenye mkoa wa Iringa, watu 94 waliipigia kura CCM, watu 4 wakaipigia chadema na mtu mmoja akaipigia CUF.
Hapa maana yake ni kuwa mkoa wa Iringa unaongoza kitaifa kwa asilimia kwa kuipa kura CCM. Wakati CCM ilipata kura nyingi kutoka mwanza,kura 713,088 CUF zake ni 216,700 kutoka mkoa wa Dar es salaam na CHADEMA ni kura 98,072 kutoka Mkoa wa Kilimanjaro. CCM ilipata kura chache kabisa kwenye mkoa wa Kaskazini Pemba, kura 7,777 wakati CUF ilipata kura 4,776 kwenye mkoa wa Iringa nayo CHADEMA ikaambulia kura 128 huko kwenye mkoa wa Kusini Unguja.
Ukichambua kiasilimia. Asilimia kubwa kwa CCM ni kutoka mkoa wa Iringa, asilimia 94.20, CUF ni kutoka mkoa wa Kaskazini Pemba aslimia 85.66 na CHADEMA ni kutoka mkoa wa Kilimanjaro asilimia 20.61. Uchache wa asilimia kwa CCM umetoka kwenye mkoa wa Kaskazini Pemba asilimia 12.03 kwa CUF ni kutoka mkoa wa Arusha asilimia 1.21 na CHADEMA ni asilimia 0.20 kutoka Kaskazini Pemba.
Twakimu hizi zitatusaidia kujua chama gani kilipata asilimia nyingi kwenye mkoa gani na mkoa upi ulitoa kura nyingi kwa chama gani. Inawezekana ikawa ndiyo msingi wa kujifanyia tathimini kama ule wito wetu wa kutaka kumuondoa Kikwete mkakati wake tuuanzaje.
Hapa hakuna haja ya kushambuliana bali tuzitumie takwimu hizi kujifanyia tathimini kwamba tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 tumefanya kazi gani ya kupunguza asilimia na wingi wa kura inazopata CCM kwenye mikoa yetu. Bila kuwa na mikakati yakinifu ya kupunguza asilimia na wingi wa kura inazopata CCM hakuna njia ya mkato ya kuiondoa madarakani.
NO
Region
Region
CHADEMA
1
Iringa
472,612 (94.20%)
North Pemba
55,360 (85.66%)
Kilimanjaro
98,072 (20.61%)
2
Singida
319,870 (90.90%)
South Pemba
49,791 (77.05%)
Arusha
67,618 (15.34%)
3
Rukwa
259,421 (89.94%)
M.Magharibi
46,832 (31.16%)
Mara
56,493 (12.42%)
4
Mbeya
568,458 (88.87%)
Pwani
83,821 (24.37%)
Manyara
36,834 (10.71%)
5
S.Unguja
47,545 (88.58%)
Lindi
66.775 (22.90%)
Kigoma
41,100 (9.48%)
6
Dodoma
497,792 (87.47%)
N. Unguja
14,968 (22.81%)
Kagera
49,867 (7.35%)
7
Manyara
321,026 (86.35%)
Dar' salaam
216,700(22.79%)
Mwanza
59,142 (6.58%)
8
Morogoro
548,837 (85.83%)
Tabora
95,047 (21.02%)
Shinyanga
54,631 (6.55%)
9
Tanga
272.504 (84.77%)
Mtwara
73,667 (16, 64%)
Dar'Salaam
52,979 (5.57%)
10
Ruvuma
304,611 (84.57%)
Shinyanga
131,526(15.76%)
Rukwa
13,035 (4.51%)
11
Kagera
572,498 (84.43%)
Tanga
67,260 (12.43%)
Ruvuma
13,973 (3.88%)
12
Arusha
361,237 (81.96%)
Mwanza
106,558(11.86%)
Mbeya
24,524 (3.83%)
13
Kigoma
345,298 (79.61%)
S. Unguja
5,717 (10.65%)
Singida
12,977 (3.69%)
14
Mwanza
713,088 (79.37%)
Ruvuma
36,426 (10.11%)
Iringa
17,691 (3.53%)
15
Mtwara
350,117 (79.09%)
Morogoro
60,051 (9.39%)
Dodoma
15,777 (2.81%)
16
Mara
354,613 (77.95%)
Dodoma
444,971 (8.00%)
Morogoro
15,668 (2.45%)
17
Tabora
345,549 (75.98%)
Kigoma
34,410 (7.93%)
Mtwara
9,145 (2.07%)
18
N.Unguja
49,566 (75.53%)
Mara
31,533 (6.93%)
Tabora
7,618 (1.68%)
19
Shinyanga
621,975 (74.54%)
Kagera
39,710 (5.86%)
Pwani
5,642 (1.64%)
20
Lindi
Singida
14,705 (4.18%)
Lindi
4,644 (1.59%)
21
Pwani
251,068 (72.93%)
Mbeya
18,382 (2.87%)
Tanga
7,225 (1.30%)
22
Kilimanjaro
344,539 (72. 24%)
Rukwa
7,207 (2.50%)
M.Magharibi
507 (0.34%)
23
Dar ‘salaam
671,134 (70.59%)
Iringa
4,776 (0.95%)
N.Unguja
206 (0.31%)
24
M.Magharibi
102,256 (68.03%)
Manyara
7,171 (1.93%)
S.Unguja
128 (0.24%)
25
S.Pemba
12,844 (21.15%)
Kilimanjaro
9,437 (1.88%)
S.Pemba
130(0.21%)
26
N.Pemba
7,777 (12.03%)
Arusha
5,324 (1.21%)
N.Pemba
130 (0.20%)
Total
Hakuna mkoa wowote ambao CHADEMA iliongoza kwa kupata asilimia nyingi ya kura kuliko vyama vingine. Hata Kilimanjaro ambako ndiko ilikopata asilimia nyingi ya kura, CCM ndiyo iliongoza kwa kupata asilimia nyigi zaidi ya kura (72.24%) kuliko CHADEMA (20.61%) na CUF (1.88%)
WINGI WA KURA KWA KILA MGOMBEA URAIS KWA CCM, CUF NA CHADEMA 2005
CCM CUF CHADEMA
1
Mwanza
Dar es salaam
Kilimanjaro
2
Dar es Salaam
Shinyanga
Arusha
3
Shinyanga
Mwanza
Mwanza
4
Kagera
Tabora
Mara
5
Mbeya
Pwani
Shinyanga
6
Morogoro
Mtwara
Dar es salaam
7
Dodoma
Tanga
Kagera
8
Iringa
Lindi
Kigoma
9
Tanga
Morogoro
Manyara
10
Arusha
North Pemba
Mbeya
11
Mara
M. Magharibi
Iringa
12
Mtwara
South Pemba
Dodoma
13
Kigoma
Dodoma
Morogoro
14
Kilimanjaro
Kagera
Ruvuma
15
Tabora
Ruvuma
Rukwa
16
Manyara
Kigoma
Singida
17
Singida
Mara
Mtwara
18
Ruvuma
Mbeya
Tabora
19
Rukwa
North Unguja
Tanga
20
Pwani
Singida
Pwani
21
Lindi
Kilimanjaro
Lindi
22
Mjini Magharibi
Rukwa
Mjini Magharibi
23
North Unguja
Manyara
North Unguja
24
South Unguja
South Unguja
South Pemba
25
South Pemba
Arusha
North Pemba
26
North Pemba
Iringa
South Unguja
JUMLA
9,123,952
1,327,125
Hapa Rangi zinatusaidia kuona kwa mfano nafasi ya Mwanza kwenye CUF na CHADEMA na nafasi ya Dar es salaam kwa CCM na CHADEMA na pia nafasi ya Kilimanjaro kwa CCM na CUF.
Nawasilisha!!
Lengo la TAKWIMU hizi ni kuonyesha ni kwa kiasi gani kwa kila mkoa kati ya watu mia ni wangapi walikipigia chama gani kura kwa nafasi ya urais. Kwa mfano kati ya watu mia (100) kwenye mkoa wa Iringa, watu 94 waliipigia kura CCM, watu 4 wakaipigia chadema na mtu mmoja akaipigia CUF.
Hapa maana yake ni kuwa mkoa wa Iringa unaongoza kitaifa kwa asilimia kwa kuipa kura CCM. Wakati CCM ilipata kura nyingi kutoka mwanza,kura 713,088 CUF zake ni 216,700 kutoka mkoa wa Dar es salaam na CHADEMA ni kura 98,072 kutoka Mkoa wa Kilimanjaro. CCM ilipata kura chache kabisa kwenye mkoa wa Kaskazini Pemba, kura 7,777 wakati CUF ilipata kura 4,776 kwenye mkoa wa Iringa nayo CHADEMA ikaambulia kura 128 huko kwenye mkoa wa Kusini Unguja.
Ukichambua kiasilimia. Asilimia kubwa kwa CCM ni kutoka mkoa wa Iringa, asilimia 94.20, CUF ni kutoka mkoa wa Kaskazini Pemba aslimia 85.66 na CHADEMA ni kutoka mkoa wa Kilimanjaro asilimia 20.61. Uchache wa asilimia kwa CCM umetoka kwenye mkoa wa Kaskazini Pemba asilimia 12.03 kwa CUF ni kutoka mkoa wa Arusha asilimia 1.21 na CHADEMA ni asilimia 0.20 kutoka Kaskazini Pemba.
Twakimu hizi zitatusaidia kujua chama gani kilipata asilimia nyingi kwenye mkoa gani na mkoa upi ulitoa kura nyingi kwa chama gani. Inawezekana ikawa ndiyo msingi wa kujifanyia tathimini kama ule wito wetu wa kutaka kumuondoa Kikwete mkakati wake tuuanzaje.
Hapa hakuna haja ya kushambuliana bali tuzitumie takwimu hizi kujifanyia tathimini kwamba tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 tumefanya kazi gani ya kupunguza asilimia na wingi wa kura inazopata CCM kwenye mikoa yetu. Bila kuwa na mikakati yakinifu ya kupunguza asilimia na wingi wa kura inazopata CCM hakuna njia ya mkato ya kuiondoa madarakani.
MLINGANISHO WA % ZA KURA ZA WAGOMBEA URAIS KWA CCM, CUF, CHADEMA MWAKA 2005
Region
CCM
Region
CUF
CHADEMA
1
Iringa
472,612 (94.20%)
North Pemba
55,360 (85.66%)
Kilimanjaro
98,072 (20.61%)
2
Singida
319,870 (90.90%)
South Pemba
49,791 (77.05%)
Arusha
67,618 (15.34%)
3
Rukwa
259,421 (89.94%)
M.Magharibi
46,832 (31.16%)
Mara
56,493 (12.42%)
4
Mbeya
568,458 (88.87%)
Pwani
83,821 (24.37%)
Manyara
36,834 (10.71%)
5
S.Unguja
47,545 (88.58%)
Lindi
66.775 (22.90%)
Kigoma
41,100 (9.48%)
6
Dodoma
497,792 (87.47%)
N. Unguja
14,968 (22.81%)
Kagera
49,867 (7.35%)
7
Manyara
321,026 (86.35%)
Dar' salaam
216,700(22.79%)
Mwanza
59,142 (6.58%)
8
Morogoro
548,837 (85.83%)
Tabora
95,047 (21.02%)
Shinyanga
54,631 (6.55%)
9
Tanga
272.504 (84.77%)
Mtwara
73,667 (16, 64%)
Dar'Salaam
52,979 (5.57%)
10
Ruvuma
304,611 (84.57%)
Shinyanga
131,526(15.76%)
Rukwa
13,035 (4.51%)
11
Kagera
572,498 (84.43%)
Tanga
67,260 (12.43%)
Ruvuma
13,973 (3.88%)
12
Arusha
361,237 (81.96%)
Mwanza
106,558(11.86%)
Mbeya
24,524 (3.83%)
13
Kigoma
345,298 (79.61%)
S. Unguja
5,717 (10.65%)
Singida
12,977 (3.69%)
14
Mwanza
713,088 (79.37%)
Ruvuma
36,426 (10.11%)
Iringa
17,691 (3.53%)
15
Mtwara
350,117 (79.09%)
Morogoro
60,051 (9.39%)
Dodoma
15,777 (2.81%)
16
Mara
354,613 (77.95%)
Dodoma
444,971 (8.00%)
Morogoro
15,668 (2.45%)
17
Tabora
345,549 (75.98%)
Kigoma
34,410 (7.93%)
Mtwara
9,145 (2.07%)
18
N.Unguja
49,566 (75.53%)
Mara
31,533 (6.93%)
Tabora
7,618 (1.68%)
19
Shinyanga
621,975 (74.54%)
Kagera
39,710 (5.86%)
Pwani
5,642 (1.64%)
20
Lindi
215,717 (73.99%)
14,705 (4.18%)
Lindi
4,644 (1.59%)
21
Pwani
251,068 (72.93%)
Mbeya
18,382 (2.87%)
Tanga
7,225 (1.30%)
22
Kilimanjaro
344,539 (72. 24%)
Rukwa
7,207 (2.50%)
M.Magharibi
507 (0.34%)
23
Dar ‘salaam
671,134 (70.59%)
Iringa
4,776 (0.95%)
N.Unguja
206 (0.31%)
24
M.Magharibi
102,256 (68.03%)
Manyara
7,171 (1.93%)
S.Unguja
128 (0.24%)
25
S.Pemba
12,844 (21.15%)
Kilimanjaro
9,437 (1.88%)
S.Pemba
130(0.21%)
26
N.Pemba
7,777 (12.03%)
Arusha
5,324 (1.21%)
N.Pemba
130 (0.20%)
Total
9,123,952 (80.28%)
1,327,125 (11.68%)
668,756 (5.88%)
Hakuna mkoa wowote ambao CHADEMA iliongoza kwa kupata asilimia nyingi ya kura kuliko vyama vingine. Hata Kilimanjaro ambako ndiko ilikopata asilimia nyingi ya kura, CCM ndiyo iliongoza kwa kupata asilimia nyigi zaidi ya kura (72.24%) kuliko CHADEMA (20.61%) na CUF (1.88%)
WINGI WA KURA KWA KILA MGOMBEA URAIS KWA CCM, CUF NA CHADEMA 2005
CCM CUF CHADEMA
1
Mwanza
713,088
Dar es salaam
216,700
Kilimanjaro
98,072
Dar es Salaam
671,134
131,526
67,618
Shinyanga
621,975
106,558
59,142
Kagera
572,498
95,047
56,493
Mbeya
568,458
83,821
54,631
Morogoro
548,847
73,667
52,979
Dodoma
491,792
69,260
49,867
Iringa
472,612
66,775
41,100
Tanga
472,504
60,051
39,834
Arusha
361,237
55,360
24,524
Mara
354,613
46,832
17,691
Mtwara
350,117
46,791
15,777
Kigoma
345,298
44,971
15,668
Kilimanjaro
344,539
39,710
13,973
Tabora
343,549
36,426
13,035
Manyara
321,026
34,410
12,977
Singida
319,526
31,533
9,145
Ruvuma
304,611
18,382
7,618
Rukwa
259,421
14,968
7,225
Pwani
251,068
14,705
5,642
Lindi
215,717
9,437
4,644
Mjini Magharibi
102,256
7,207
507
North Unguja
49,566
7,171
206
South Unguja
47,545
5,717
130
South Pemba
12,844
5,324
130
North Pemba
7,777
4,776
128
JUMLA
9,123,952
1,327,125
668,756
Hapa Rangi zinatusaidia kuona kwa mfano nafasi ya Mwanza kwenye CUF na CHADEMA na nafasi ya Dar es salaam kwa CCM na CHADEMA na pia nafasi ya Kilimanjaro kwa CCM na CUF.
Nawasilisha!!