G. Activist
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 482
- 125
Mh. Silinde Mbunge wa Mbozi Magharibi, anahitaji PCCB wabadirike wasiwe ni watu wakuongea tu, bali iwe ni takukuru yenye meno pia.
Takukuru yetu inameno tena makali kweli, kwenye rushwa ndogondogo, ila mafisadi wanaoweza kutikisa nchi, hao takukuru yetu imewashindwa kabisa.... Tunaenda wapi?????
Takukuru yetu inameno tena makali kweli, kwenye rushwa ndogondogo, ila mafisadi wanaoweza kutikisa nchi, hao takukuru yetu imewashindwa kabisa.... Tunaenda wapi?????