TAKUKURU yawatahadharisha wenye uchu wa uongozi

mamayoyo1

JF-Expert Member
Jul 25, 2018
1,011
1,019




Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), imesema haitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaotamani kugombea uongozi bila kufuata taratibu na sheria.

Tahadhari hiyo ilitolewa jana na kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Nachingewa, Buddy Ebrahim kwenye kongamano la maadili,lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) ya mkoa wa Lindi.

Buddy alisema kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu unaotatajiwa kufanyika mwakani, kuna baadhi ya watu wanaotamani kuomba uongozi kupitia chaguzi hizo wameanza kuwalaghai wapiga kura kwa kuwahaidi na kuwapa fedha na vitu.

Alisema vitendo hivyo havikubaliki. Kwasababu nikosa kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa ya mwaka 2007. Kwahiyo serikali kwa kutumia vyombo vyake, ikiwemo taasisi hiyo vinawafuatilia kwa karibu wanaotajwa kutenda vitendo hivyo.

"Watu wanaofanya vitendo hivyo na wanaotamani kufanya, watambue kwamba serikali inawaona na inawajua. Kwasababu inamacho mengi kuliko matundu ya chandarua,"alisisitiza Buddy.

Kamanda huyo aliwaasa wapiga kura, kwamba kabla ya kuwapigia kura wagombea waanze kujiuliza kama wanaotaka kuwachagua wanataka uongozi ili wawe watumishi wao au kwa ajili ya masilahi yao binafsi. Huku akiwasihi wawakatae watu wanaotumika na kuwakumbatia watu wenye vipato na uchumi mkubwa ili wachaguliwe kuwa viongozi.

Hata hivyo kamanda huyo alibainisha kwamba uwezo wa kiuchumi hakuzuii mtu kuchaguliwa na kuwa kiongozi. Hata hivyo baadhi yao wanatumia uwezo huo kuwanunua wapiga kura. Jambo ambalo linaweza kusababisha madhara makubwa iwapo watachaguliwa na kuwa viongozi.

Alisema watu wenye uchu wa uongozi kiasi cha kutumia fedha na mali, iwapo watapewa uongozi wanaweza kutengeneza sheria zitakozolinda masilahi yao. Kwahiyo watakwamisha shuguli za maendeleo ya wananchi.
 
Yule jamaa wa uvccm aliekamtwa Dodoma kwa sababu ya rushwa kisi yake iliishia wapi ?
 
Wasanii hawa tena wakubwa sana kwa kutowakamata akina tibaijuka, chenge, ngeleja na wengi wengine waliopokea pesa za wizi 321 billions pesa za Escrow.





Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), imesema haitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaotamani kugombea uongozi bila kufuata taratibu na sheria.

Tahadhari hiyo ilitolewa jana na kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Nachingewa, Buddy Ebrahim kwenye kongamano la maadili,lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) ya mkoa wa Lindi.

Buddy alisema kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu unaotatajiwa kufanyika mwakani, kuna baadhi ya watu wanaotamani kuomba uongozi kupitia chaguzi hizo wameanza kuwalaghai wapiga kura kwa kuwahaidi na kuwapa fedha na vitu.

Alisema vitendo hivyo havikubaliki. Kwasababu nikosa kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa ya mwaka 2007. Kwahiyo serikali kwa kutumia vyombo vyake, ikiwemo taasisi hiyo vinawafuatilia kwa karibu wanaotajwa kutenda vitendo hivyo.

"Watu wanaofanya vitendo hivyo na wanaotamani kufanya, watambue kwamba serikali inawaona na inawajua. Kwasababu inamacho mengi kuliko matundu ya chandarua,"alisisitiza Buddy.

Kamanda huyo aliwaasa wapiga kura, kwamba kabla ya kuwapigia kura wagombea waanze kujiuliza kama wanaotaka kuwachagua wanataka uongozi ili wawe watumishi wao au kwa ajili ya masilahi yao binafsi. Huku akiwasihi wawakatae watu wanaotumika na kuwakumbatia watu wenye vipato na uchumi mkubwa ili wachaguliwe kuwa viongozi.

Hata hivyo kamanda huyo alibainisha kwamba uwezo wa kiuchumi hakuzuii mtu kuchaguliwa na kuwa kiongozi. Hata hivyo baadhi yao wanatumia uwezo huo kuwanunua wapiga kura. Jambo ambalo linaweza kusababisha madhara makubwa iwapo watachaguliwa na kuwa viongozi.

Alisema watu wenye uchu wa uongozi kiasi cha kutumia fedha na mali, iwapo watapewa uongozi wanaweza kutengeneza sheria zitakozolinda masilahi yao. Kwahiyo watakwamisha shuguli za maendeleo ya wananchi.
 





Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), imesema haitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaotamani kugombea uongozi bila kufuata taratibu na sheria.

Tahadhari hiyo ilitolewa jana na kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Nachingewa, Buddy Ebrahim kwenye kongamano la maadili,lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) ya mkoa wa Lindi.

Buddy alisema kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu unaotatajiwa kufanyika mwakani, kuna baadhi ya watu wanaotamani kuomba uongozi kupitia chaguzi hizo wameanza kuwalaghai wapiga kura kwa kuwahaidi na kuwapa fedha na vitu.

Alisema vitendo hivyo havikubaliki. Kwasababu nikosa kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa ya mwaka 2007. Kwahiyo serikali kwa kutumia vyombo vyake, ikiwemo taasisi hiyo vinawafuatilia kwa karibu wanaotajwa kutenda vitendo hivyo.

"Watu wanaofanya vitendo hivyo na wanaotamani kufanya, watambue kwamba serikali inawaona na inawajua. Kwasababu inamacho mengi kuliko matundu ya chandarua,"alisisitiza Buddy.

Kamanda huyo aliwaasa wapiga kura, kwamba kabla ya kuwapigia kura wagombea waanze kujiuliza kama wanaotaka kuwachagua wanataka uongozi ili wawe watumishi wao au kwa ajili ya masilahi yao binafsi. Huku akiwasihi wawakatae watu wanaotumika na kuwakumbatia watu wenye vipato na uchumi mkubwa ili wachaguliwe kuwa viongozi.

Hata hivyo kamanda huyo alibainisha kwamba uwezo wa kiuchumi hakuzuii mtu kuchaguliwa na kuwa kiongozi. Hata hivyo baadhi yao wanatumia uwezo huo kuwanunua wapiga kura. Jambo ambalo linaweza kusababisha madhara makubwa iwapo watachaguliwa na kuwa viongozi.

Alisema watu wenye uchu wa uongozi kiasi cha kutumia fedha na mali, iwapo watapewa uongozi wanaweza kutengeneza sheria zitakozolinda masilahi yao. Kwahiyo watakwamisha shuguli za maendeleo ya wananchi.
 
Vipi kuhusu yule DC, ambaye sasa ni RC kanda ya kaskazini, ambaye video yake ilisambazwa humu akionekana kuwahonga madiwani wa upinzani wajiunge na chama tawala, mpaka sasa TAKUKURU imemchukulia hatua gani ?
 
Heading ingekuwa TAKUKURU yawatahadharisha wenye chuchu za Ngozi labda ningekusoma Mamayoyo.
 




Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), imesema haitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaotamani kugombea uongozi bila kufuata taratibu na sheria.

Tahadhari hiyo ilitolewa jana na kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Nachingewa, Buddy Ebrahim kwenye kongamano la maadili,lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) ya mkoa wa Lindi.

Buddy alisema kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu unaotatajiwa kufanyika mwakani, kuna baadhi ya watu wanaotamani kuomba uongozi kupitia chaguzi hizo wameanza kuwalaghai wapiga kura kwa kuwahaidi na kuwapa fedha na vitu.

Alisema vitendo hivyo havikubaliki. Kwasababu nikosa kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa ya mwaka 2007. Kwahiyo serikali kwa kutumia vyombo vyake, ikiwemo taasisi hiyo vinawafuatilia kwa karibu wanaotajwa kutenda vitendo hivyo.

"Watu wanaofanya vitendo hivyo na wanaotamani kufanya, watambue kwamba serikali inawaona na inawajua. Kwasababu inamacho mengi kuliko matundu ya chandarua,"alisisitiza Buddy.

Kamanda huyo aliwaasa wapiga kura, kwamba kabla ya kuwapigia kura wagombea waanze kujiuliza kama wanaotaka kuwachagua wanataka uongozi ili wawe watumishi wao au kwa ajili ya masilahi yao binafsi. Huku akiwasihi wawakatae watu wanaotumika na kuwakumbatia watu wenye vipato na uchumi mkubwa ili wachaguliwe kuwa viongozi.

Hata hivyo kamanda huyo alibainisha kwamba uwezo wa kiuchumi hakuzuii mtu kuchaguliwa na kuwa kiongozi. Hata hivyo baadhi yao wanatumia uwezo huo kuwanunua wapiga kura. Jambo ambalo linaweza kusababisha madhara makubwa iwapo watachaguliwa na kuwa viongozi.

Alisema watu wenye uchu wa uongozi kiasi cha kutumia fedha na mali, iwapo watapewa uongozi wanaweza kutengeneza sheria zitakozolinda masilahi yao. Kwahiyo watakwamisha shuguli za maendeleo ya wananchi.
Kamanda wa TAKUKURU anaposema wagombea wenye uchu wa uongozi ana maana wale wa upinzani ndo watashughuhukiwa wa CCM ruksa, ni takrima tu. Sheria anayotaja ni ya 2007 na tahadhari kama hii tumekuwa tukisikia toka sharia hii itungwe na wabunge wenyewe wamekuwa mustari wa mbele kutoa rushwa kwa wapiga kura, wangapi wamekamatwa? Sheria na taratibu zote, pamoja na za uchaguzi, Awamu hii haifuati bali ni amri na maagizo toka juu ndo yanazingatiwa. Hata wapinzani wanashughulikiwa na vyombo vya dola kwa maagizo toka juu tu siyo kwa mujibu wa sheria.
 
Takukuru wasitumike, kwani kuwa na nia ya uongozi ni dhambi? Wao wajikite kufanya kazi yao ya kuzuia na kukamata watoa rushwa. Wanamuonya nani mwenye huo uchu sasa? yani mimi kama naona kiongozi aliyepo hafai name najiona naweza nazuiliwa kuwa na hamu hiyo ya kugombea? Sasa Takukuru wanataka tusigombee uongozi tusubiri kupewa? sio vyeo vyote ni vya kuteuliwa, waache watu wagombee wao wajikite kufanya kazi zao kwa mujibu wa miongozo na sharia. Wakae mbali na hili la kugombea, ama kama wanatamani nao wagombee. Huwezi kuzuia watu kutafuta uongozi, na ahtuwezi kuwaacha waliopo kwa sababu wameshindwa.
Takukuru fanyeni kazi yenu, waacheni wananchi watekeleze matakwa ya katiba ya nchi yao. Ongeleeni RUSHWA lakini sio UONGOZI na UCHAGUZI.
Kama kuna mtu atatoa rushwa kamateni lakini msitishe watu.
 
Hao TAKUKURU ndio msingi wa rushwa ndani ya nchi hii. Uzoefu unaonyesha TAKUKURU hutumika na watawala kuzuia wasiowataka au wasio kwenye kambi zao. Kwa ujumla TAKUKURU hawana lolote la maana wafanyali kuhusu rushwa zaidi ya wao kutumia taasisi yao kujinufaisha na rushwa.
 
Yule jamaa wa uvccm aliekamtwa Dodoma kwa sababu ya rushwa kisi yake iliishia wapi ?
Mkamataji amepata dhamana ya ukamataji kwa style ya anayemkamatwa, na aliyemuagiza makamataji akamate, huku fika mkamatajwi akifahamu style ya kupata uongozi ya wakamataji mara nyingi kesi ya mkamatajwi huishia hewani.
 
Back
Top Bottom