DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Leo nilikuwa kata ya makiba wilayani arumeru,sijaamini kuona maafisa wa takukuru wakiwa wamevaa sare za ccm wakiranda mitaani huku mitego ikiwa mingi kinoma.sisi kama chadema tulikuwa ktk harakati zetu za kawaida.