ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,872
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mpo, mkitazama mchezo wa kuhonga watu wahame vyama, kwa fedha za umma. Nawakumbusha tu kwamba hakunaga Rais anayedumu milele.
Rais Magufuli na wasaidizi wake wote watapita. Atakuja Rais mpya na mambo yake mapya. Atafukua kila ovu lililotendeka kipindi cha utawala huu wa Rais Magufuli. TAKUKURU hamtabaki salama. Ni kheri mkafanya kazi zenu kwa weledi leo, ili kesho mkumbukwe.
Ni ushauri wa bure.
Rais Magufuli na wasaidizi wake wote watapita. Atakuja Rais mpya na mambo yake mapya. Atafukua kila ovu lililotendeka kipindi cha utawala huu wa Rais Magufuli. TAKUKURU hamtabaki salama. Ni kheri mkafanya kazi zenu kwa weledi leo, ili kesho mkumbukwe.
Ni ushauri wa bure.