TAKUKURU mko wapi? UVCCM inateketezwa kwa Rushwa

TAKUKURU mko wapi? UVCCM inateketezwa kwa Rushwa

Jembe limekatikia kwenye mpini.Matatizo yenu myamalize humo humo.Sijawahi hona mtu ananika mabaya ya nyumbani kwake na ukiona anafanya hivyo ujue nyumbani kwake kuna uozo wenye ukoko na umeshashindikana,sijui kwanini chaguzi nyingi za afrika zimetamalaki rushwa,na hawo vijana ndio viongozi wa kesho,anapata madaraka kwa rushwa alafu utegemee akemee rushwa never on earth,kwa nje wataonekana ni wakemea rushwa kwa ndani ndio mafisadi na wala rushwa wakubwa.UVCCM iliondoka na mweshimiwa Balozi Nchimbi,waliobaki ni waigizaji wakubwa wenye nia binafsi ndani yao.
 
TAKUKURU mko wapi?, kuna viongozi wa UVCCM na baadhi ya wagombea wataiteketeza jumuiya hiyo kwa rushwa. Tafadhali chukueni hatua za haraka. Rushwa inatembea kama njugu, uongozi umegeuzwa kuwa bidhaa inayonunuliwa sokoni..

Syndicate ya viongozi wakiongozwa na Sadifa, Jokate, Zenda wamegeuza uchaguzi huu kuwa fursa na biashara ya kujipatia kipato. Wagombea wao nao wanazunguka mikoani na kutoa rushwa ya kufuru... Baadhi yao ni
1. Jackson Kangoye
2. Kheri James
3. Abdul Van Mohamed
4. Suleiman Serera
5. Ayoub Tesha
6. Sophia Kizigo
7. Mathias Kipara

Kwa sasa wanaendelea kutembea mikoani na wilayani na kutoa rushwa ya kufuru. Tunashukuru juzi moja kati yao alikamatwa na ofisi zenu za Katavi akiwa anagawa rushwa..

NB:. Hii vita ya rushwa ni kubwa. Ni jukumu letu kumsaidia Rais wetu mpendwa Magufuli
Mkuu ni kweli CCM rushwa imeota mizizi sana.Ugumu wa rushwa hii hata hivyo ni kwamba wagombea ndio wanaotoa,ingekuwa wao ndio wanaopewa ingekuwa rahisi sana kuwapata.Hata hivyo hii inawapa TAKUKURU kazi ya ziada na changamoto.

Ni kweli mkuu rushwa zinatembea sana kwenye chaguzi. Kwenye chaguzi ndogo za majuzi, rushwa ilikuwa wazi sana.

Kazi ya kuwatoa wachumia tumbo ambao ndio wanaotoa rushwa bado ni kubwa sana.
 
takokuru wao wanakaa tu,ofisini wanasubiri waletewe wala rushwa,wakiambiwa mahala Fulani kuna rushwa hawaendi kwa mfano pale stend ya Arusha rushwa inatolewa waziwazi lakini awaendi eti wanasubiri wapelekewe ushaidi wakiwa maofisini, hawataki kabisa kuwa mashaidi kwa kuona wenyewe
Kusubiri kwao ofisini au kwenda kwao huko kwenye tuhuma za rusha vitategemea ni nani wanaotoa na kupokea hiyo rushwa.
 
Angalia wasikupe onyo mwanasiasa unaingilia Kazi zao walishasema hawataki muwapangie nini cha kufanya rejea ya Ushahidi video za madiwani,usiwashwe we nenda kanunuliwe kama fursa IPO.Cha msingi usiwafundishe Kazi.
 
Hao wanatekeleza ilani ya jadi we kama huna za kununua nunuliwa
 
Back
Top Bottom